Hamjambojamboni wenye nyumba humu!? Nasikia hamjala ubwabwa siku nyingi kidogo ndio maana wengi wenu mmenuna 🙂🙂 Haya nilipita kuwasalimia tu. Msimlaumu dobi kaniki ndiyo rangi yake hiyo.
The forgotten one mata .. Leo pia bench nadhani
Mata hayupo hata benchi....
Ba pia benchi hayupo. . wangetuuzia tu 🙂😀
Ili abadilike anatakiwa kocha alieucheza mpira na kuzijuwa Mbinu za Soka...
Huyu gagulo hana analoweza zaidi ya huko kupaki Basi ili azuie.
Sasa wenzie siku hizi wana shortcut
Crisis .... .... .. what crisis ...Khe khe khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Chelsick are without a win in four games - against Manchester United, Bayern Munich, Everton and Basle
Your rights mkuu benitez aliitengeneza timu vizuri sana na alifanikisha kuwatumia Vizuri sana Hazard, Mata Oscar but Mourinho kaja na mbwembwe zake hatak kuwatumia hao jamaa wote watatu matokeo yake anawaza kupaki basi na kupiga pasi 2 hadi goli la mpinzani.
BAK wewe ni Asenali damu and be honest. Ungependa Ozil acheze kama alivyokuwa anacheza kabla ya kwenda Madrid au acheze kama alivyokuwa anacheza wakati akiwa Madrid and why?Jamaa ana roho mbaya sana...Angetuuzia Ba tungekuwa tishio kubwa sana katika ngome yoyote ile EPL. Maana hii list ya washambulizi tuliyokuwa nayo ukamuongeza na Ba, tungetisha sana.
BAK wewe ni Asenali damu and be honest. Ungependa Ozil acheze kama alivyokuwa anacheza kabla ya kwenda Madrid au acheze kama alivyokuwa anacheza wakati akiwa Madrid and why?
Mie napenda acheze kiarsenal na kwa kiwango cha juu kabisa kuliko huko kote alikopita na kutuwezesha kutimiza ndoto zetu za miaka mingi sasa. Unajua kitendo cha RM kutomthamini na kumuacha aondoke kwa kuwa wamepata kitu kipya inaweza kumpa Ozil motivation kubwa sana akacheza katika kiwango ambacho wote tuliokuwa tunamfahamu miaka ya nyuma hatujawahi kukiona.
Nope! Objectively, Rafa na AVB hawakutengeneza a true winning team. In fact, Rafa alitaka anataka kumweka bech Mata kwa sababu as a tactical coach alijua kuwa Mata does not defend.
Pia alianza pia kumweka bench Hazard kwa sababu alikuwa ha-track back. Kama ilivyo Mourinho, Rafa alikuwa anampenda Oscar zaidi. Tofauti na Mourinho, Rafa alikubali presha ya media na kuanza kuwachezesha wote.
Lakini ni ukweli mtupu ni kuwa kama Mata yuko kwenye timu, timu inakuwa na wachezaji 11 wakati inashambulia na wachezaji 10 wakati inashambulia. Mata does not track back. Ndiyo maana Chelsea haijafanya vizuri in the past few years.
Jaribu kuwaagalia Barca. Wakipoteza mpira wachezaji wote huwa wanautafuta. Lakini Chelsea walikuwa wanasubiri mpaka timu pinzani ifanye makosa, then wafanye counter attack. Timu kama Chelsea siyo timu ya kufanya counter-attack, bali ya kucheza mpira.
Ukiangalia watu wengi wanaokandia system anayotaka kuanzisha siyo wafuasi wa Chelsea na wangependa Chelsea iendelee na na system yao ya zamani kwa sababu ingekuwa rahisi zaidi kuifunga.