Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naismiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiith :heh:
 
mechi mbili mfululizo. 2 tena wataanza kampeni di Mateo arudi
 
Naona wenye thread wote wamekimbia....ngoja wageni tujibaraguze!!!
 
Tulishawaambia hii timu ilikuwa inamfaa Benitez
 
Mtasema sana mwisho mtalala mtakapoona makombe yananyanyuliwa. Sisemi zaidi...!
 
Absolutely poor performance, we deserved to lose the game tonight. Basel hawakuwa wazuri, lakini tulikuwa wabovu. Jose ana kazi kubwa sana mbele yake, tuko mbali sana na viwango vya ubingwa iwe EPL au CL.
 
Absolutely poor performance, we deserved to lose the game tonight. Basel hawakuwa wazuri, lakini tulikuwa wabovu. Jose ana kazi kubwa sana mbele yake, tuko mbali sana na viwango vya ubingwa iwe EPL au CL.

Anachoweza Mourinho ni kupaki bus,kushinda mechi imekuwa kazi ngumu sana kwake
 
Anachoweza Mourinho ni kupaki bus,kushinda mechi imekuwa kazi ngumu sana kwake



Hiyo issue ya kuaki basi ni over-reaction . Mourinho ameweka rekodi ya points Engalnd na Spain kwa sababu magoli ndo yanazaa points, na hauwezi kufunga magoli kama unapaki basi. Jose ni kocha mzuri lakini kwa sasa anahitaji kujua kwamba timu hii si ile aliyoacha, na hawezi kutumia mbinu zilezile kwa sababu mentality, uwezo, na skills za wachezaji ni tofauti. I am sure we will be ok atakapoona baadhi ya issue. Nafikiri anafanya maamuzi mabaya kuhusu Mata vibaya.
 
article-2424581-1BE71C39000005DC-843_964x386.jpg


Chelsea-v-Basel-Gary-Cahill-Samuel-Eto-o_3005641.jpg




Chelsea-v-Basel-Mohamed-Salah-Marco-Streller_3005697.jpg




article-2424581-1BE6EA80000005DC-168_634x361.jpg



Napita tu si kuna njia ya mkato hapa khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tulishawaambia hii timu ilikuwa inamfaa Benitez

Your rights mkuu benitez aliitengeneza timu vizuri sana na alifanikisha kuwatumia Vizuri sana Hazard, Mata Oscar but Mourinho kaja na mbwembwe zake hatak kuwatumia hao jamaa wote watatu matokeo yake anawaza kupaki basi na kupiga pasi 2 hadi goli la mpinzani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom