Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Soka ni mchezo unaohitaji kushambulia na kukaba ili timu iweze kushinda. Timu yoyote na yenye mafanikio ni lazima iwe na balance kwenye attack na defence ndio maana Arsenal wamekuwa vilaza kwa misimu tisa sasa.

Hahahahaiahahahahaha washabiki walioanza kudeal na mpira under abromovic era bhana!? Anyway turud kwenye mada, umeongelea kuhusu balance kati ya attack na defence kwamba ni vitu ambavyo vinatakiwa kuwa sawa but ni ukweli kuwa mourinho anaamin katika defence kwanza kwamba kama ni mgawanyo katika asilimia basi under mourinho defence inakuwa high kuliko attack na hii ndio sababu kwa wachezaji aina ya mata kupata shida under Jose.

Mata ni mchezaji ambaye amezoea kucheza kama free player na anashambulia zaidi kitu ambacho mourinho hakitaki.
 
Hahahahaiahahahahaha washabiki walioanza kudeal na mpira under abromovic era bhana!? Anyway turud kwenye mada, umeongelea kuhusu balance kati ya attack na defence kwamba ni vitu ambavyo vinatakiwa kuwa sawa but ni ukweli kuwa mourinho anaamin katika defence kwanza kwamba kama ni mgawanyo katika asilimia basi under mourinho defence inakuwa high kuliko attack na hii ndio sababu kwa wachezaji aina ya mata kupata shida under Jose. Mata ni mchezaji ambaye amezoea kucheza kama free player na anashambulia zaidi kitu ambacho mourinho hakitaki.



Nilishazoea hiyo sentensi pale mnaposhindwa argument, haunijui hivyo sidhani kama una right kusema nimeijua Chelsea wakati wa Roman. Ni sawa na mimi nianze kuja na childish argument kwamba umeanza kuwa Arsenal fan baada ya invincible season.... Sorry, I can't go that low.
 
Hahahahaiahahahahaha washabiki walioanza kudeal na mpira under abromovic era bhana!? Anyway turud kwenye mada, umeongelea kuhusu balance kati ya attack na defence kwamba ni vitu ambavyo vinatakiwa kuwa sawa but ni ukweli kuwa mourinho anaamin katika defence kwanza kwamba kama ni mgawanyo katika asilimia basi under mourinho defence inakuwa high kuliko attack na hii ndio sababu kwa wachezaji aina ya mata kupata shida under Jose. Mata ni mchezaji ambaye amezoea kucheza kama free player na anashambulia zaidi kitu ambacho mourinho hakitaki.




Mourinho kashinda ligi ya England kwa record points na ligi ya Spain again kwa record points na magoli ya kufunga....only good attacking can do that.
 
Naona wazee wa Man U mnatatizwa sana na ishu ya Mata kukaa benchi, wakati Kagawa anaozea kwenye benchi lenu hamsemi kitu!!

Mzee wa penshenaz umefufuka?

Anyway, hilo la Kagawa tumeshalisema sana kwenye jukwaa letu.
Naona Moyes anaelekea kusikia kilio cha wafuasi wa Man United kote ulimwenguni. Hadi sasa, Shinji kaanza katika michezo miwili iliyokuwa ya muhimu sana kwa United; dhidi ya Leverkusen na Liverpool. Na alidhiirisha alivyo wa muhimu kwa United.

David atakuwa kaelewa somo; na Shinji atakuwa anakipiga mara kwa mara.
 
Asante. Hapa ndipo penyewe.

"Inategemea na anacheza position gani."

Huwezi kupata complete player kwa kuangalia hiyo FASTEST kwa kila mchezaji uwanjani.

Mimi ninavyoona ni kwamba mchezaji anakuwa mahiri na kamili kutokana na kile anachopaswa kufanya kupitia position yake.

Na sidhani kama kuna mchezaji aliye-complete. Huyu Messi unayemsema kuwa ni complete, wachambuzi wanamnanga kwa kushindwa kutumia miguu yote na vichwa katika ufungaji (sidhani kama ana magoli zaidi ya 10 aliyofunga kwa kichwa na mguu wa kulia).

Chelsea manager Jose Mourinho's press conference ahead of tomorrow game said: "I liked the way Juan Mata played against Swindon. His attitude is very good and his effort was good. When in a player makes an effort to come in my direction then I go to him as well. I can imagine from now him working into my way of thinking and I think the natural tendency will for him to be in the team."
 
Hahahahaiahahahahaha washabiki walioanza kudeal na mpira under abromovic era bhana!? Anyway turud kwenye mada, umeongelea kuhusu balance kati ya attack na defence kwamba ni vitu ambavyo vinatakiwa kuwa sawa but ni ukweli kuwa mourinho anaamin katika defence kwanza kwamba kama ni mgawanyo katika asilimia basi under mourinho defence inakuwa high kuliko attack na hii ndio sababu kwa wachezaji aina ya mata kupata shida under Jose. Mata ni mchezaji ambaye amezoea kucheza kama free player na anashambulia zaidi kitu ambacho mourinho hakitaki.

Wape vidonge vyao unaona wanavyoanza kutaharuki! Kwanza hata pimbi hawamfahamu kazi kuiga vidonge ninavyowapa khe khe kheee
 
Tusemezane ukweli wa mambo ulivyo pasipo kificho, mashabiki wa chelsea wengi wao ni kuanzia miaka ya Roman shugadad na Moudomo,chini ya hapo ni uwongo wa waziwazi!

Pia wakaja ongezeka yale mabaki ya arsenal na liverpool baada ya kukosa subra(washabiki maandazi) hawa watapungua ikifika nusu ya msimu kama Nzi anavyotaka kurudi Arsenal kwani Moyes anatoa jambajamba kule UTD..
kwani msimu huu chelsick haifiki big4
 
Last edited by a moderator:
Kwa misingi hiyo ni ukwel ulio wazi kuwa mata anasugua bench under mourinho simply because si mzuri katika defensive role but ni mzuri zaidi katika offensive role, na Mourinho anaamin zaid katika defence first na hii ndo sababu Mourinho hawez kumtumia mata kwa sana. Na ikumbukwe pia Mata si wa kwanza kuwekwa bench na mourinho kutokana na uchezaji wake Arjen Roben yamewah kumkuta haya chini ya mourinho.


Kila mchezaji ni muhimu kwa Chelsea na kuna match lazima mchezaji apangwe! Kocha yeyote anaposajili wachezaji katika timu wote wanakua na umuhimu! Na unapanga kikosi cha kucheza kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo na ni timu gani unayokwenda kukutana nayo na wanatumia mfumo gani! Kwahiyo hawa wachezaji wote wa Chelsea ni muhimu na Kila mmoja lazima atacheza!

Hii ndio misingi ya J Mourinho anapokua na timu!
 
Chelsea manager Jose Mourinho's press conference ahead of tomorrow game said: "I liked the way Juan Mata played against Swindon. His attitude is very good and his effort was good. When in a player makes an effort to come in my direction then I go to him as well. I can imagine from now him working into my way of thinking and I think the natural tendency will for him to be in the team."

Huyu ndio Mourinho! " Effort" ndio kitu muhimu!
 
OK, tufanye kwamba Chelsea ilikuwa inatisha chini ya Benitez, lakini alifanya nini kwenye EPL? Alishinda nini zaidi ya Europa? Jose ni winner, a proven CHAMPION ndo maana ana philosophy tofauti. Jose amshasema zaidi ya mara mbili kwamba lengo lake ni kumwona Mata na Oscar wakicheza pamoja lakini Oscar kama no 10, hivyo Mata ndo anatakiwa kuadapt style yake. Ni suala la muda tu naamini Mata atanza kupangwa kila game.

Benitez alikuja wakati tayari it was too late, the season couldn't be salvaged at that point. Haya ngoja tusubiri tuone. Akimfunga Tottenham kesho na akumtungua Arsenal na City hapo nitampa ushindi kabla ya league kwisha
All in all 3 amigos (Hazard, Mata and Oscar) wakianza wanatisha
 
Tusemezane ukweli wa mambo ulivyo pasipo kificho,
mashabiki wa chelsea wengi wao ni kuanzia miaka ya Roman shugadad na Moudomo,chini ya hapo ni uwongo wa waziwazi!
Pia wakaja ongezeka yale mabaki ya arsenal na liverpool baada ya kukosa subra(washabiki maandazi) hawa watapungua ikifika nusu ya msimu kama Nzi anavyotaka kurudi Arsenal kwani Moyes anatoa jambajamba kule UTD..
kwani msimu huu chelsick haifiki big4

Mashabiki wengi wa hizi timu wamekuja baada ya ITV na DTV kuanzishwa. Inachekesha unamkuta mtu tena mzima ni shabiki wa Gooners halafu hamjui hata George Graham.
Tukirudi kwa Maurinho, time will tell kama selection yake ya kuwapangua 3 Amigos ita-back fire or not. Howerver, he's a good manager than Wenger.....numbers in terms of silverwares don't lie
 
Last edited by a moderator:
Wape vidonge vyao unaona wanavyoanza kutaharuki! Kwanza hata pimbi hawamfahamu kazi kuiga vidonge ninavyowapa khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha wanahasira hao ukiwaambia ukweli.
 
Mashabiki wengi wa hizi timu wamekuja baada ya ITV na DTV kuanzishwa. Inachekesha unamkuta mtu tena mzima ni shabiki wa Gooners halafu hamjui hata George Graham.
Tukirudi kwa Maurinho, time will tell kama selection yake ya kuwapangua 3 Amigos ita-back fire or not. Howerver, he's a good manager than Wenger.....numbers in terms of silverwares don't lie

Good gracious, what the hell are you talking about? The problem you only know ITV and DTV. Get life my friend this isn't your league. No wonder you call yoursef Vuvuzela.
. What type of vuvuzela is this?
 
......🚶🚶🚶....napita tu hapa,
Hamjambo? Kimya kingi kina mshindo!...

👣
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Leo naona jukwaa lipo kimyaa baada ya Totenham kufanya mambo. Its half tym...Chelsea 0 chickens 1
 
Good gracious, what the hell are you talking about? The problem you only know ITV and DTV. Get life my friend this isn't your league. No wonder you call yoursef Vuvuzela. What type of vuvuzela is this?

No, you get a life dude!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom