![]()
The losers are .... ..... ... .
Anachoweza Mourinho ni kupaki bus,kushinda mechi imekuwa kazi ngumu sana kwake
Arambaa....aramba tena aaam aaam......
Ukiona manyoya........
Hiyo issue ya kuaki basi ni over-reaction . Mourinho ameweka rekodi ya points Engalnd na Spain kwa sababu magoli ndo yanazaa points, na hauwezi kufunga magoli kama unapaki basi. Jose ni kocha mzuri lakini kwa sasa anahitaji kujua kwamba timu hii si ile aliyoacha, na hawezi kutumia mbinu zilezile kwa sababu mentality, uwezo, na skills za wachezaji ni tofauti. I am sure we will be ok atakapoona baadhi ya issue. Nafikiri anafanya maamuzi mabaya kuhusu Mata vibaya.
.......kila msiba una mwenzie,
Poleni sana wakuu....
Mliupenda ushindi ila Waswidi wameupenda zaidi 
Hana jipya, kazi kuchonga ktk front page za magazeti, na this weekend hachomokiHiyo issue ya kuaki basi ni over-reaction . Mourinho ameweka rekodi ya points Engalnd na Spain kwa sababu magoli ndo yanazaa points, na hauwezi kufunga magoli kama unapaki basi. Jose ni kocha mzuri lakini kwa sasa anahitaji kujua kwamba timu hii si ile aliyoacha, na hawezi kutumia mbinu zilezile kwa sababu mentality, uwezo, na skills za wachezaji ni tofauti. I am sure we will be ok atakapoona baadhi ya issue. Nafikiri anafanya maamuzi mabaya kuhusu Mata vibaya.
Who tell you? hizo zilikua zama za zilipendwa, pole sana ndugu.Mourinho The Special one a.k.a The only one.
Hiyo issue ya kuaki basi ni over-reaction . Mourinho ameweka rekodi ya points Engalnd na Spain kwa sababu magoli ndo yanazaa points, na hauwezi kufunga magoli kama unapaki basi. Jose ni kocha mzuri lakini kwa sasa anahitaji kujua kwamba timu hii si ile aliyoacha, na hawezi kutumia mbinu zilezile kwa sababu mentality, uwezo, na skills za wachezaji ni tofauti. I am sure we will be ok atakapoona baadhi ya issue. Nafikiri anafanya maamuzi mabaya kuhusu Mata vibaya.
Hapa umenena, Chelsea hawana tatizo la quality players wala Depth ya kikosi.Tatizo falsafa anayolazimisha Mournho haifanyi kazi kwa wachezaji waliopo..
Asipobadilika Mna Wakati mgumu sana...Angalia wachezaji wa viwango waliopo mpaka benchi??
Ahaaaaaaaa hizi sio zama za Akina Makelele,Callas atengeneze timu ya kutengeneza nafasi na kushambulia wachezaji wa kariba hiyo wapo.
Gang Chomba.Ili abadilike anatakiwa kocha alieucheza mpira na kuzijuwa Mbinu za Soka...
Huyu gagulo hana analoweza zaidi ya huko kupaki Basi ili azuie.
Sasa wenzie siku hizi wana shortcut
Ili abadilike anatakiwa kocha alieucheza mpira na kuzijuwa Mbinu za Soka...
Huyu gagulo hana analoweza zaidi ya huko kupaki Basi ili azuie.
Sasa wenzie siku hizi wana shortcut