EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Chelsea hawajafanya vizuri past years kwa sababu ya Mata? Ambaye for last two season ndio mchezaji bora wao
Nadhani the fact that alikuwa the best player for two consecutive seasons ndo inawazingua watu.
Being the club's best player of the season is nothing if the team does not win trophies.
At the end of the season is not whether a particular player played better than another but whether the whole team played better.
As a team, Chelsea has not played well in the last couple of seasons. Every Chelsea supporter will agree to this regardless of whether Mata was the player of the season.
Wakati baadhi yenu mnataka Mata aendelee kucheza level ile ile, wengine wanataka aimprove zaidi.
Personally, when I was watching Mata playing I thought he was a very skilled player, but also thought there was something missing in him. The same to Hazard, though yeye ameimprove.
If Mata is professional enough should accept the constructive criticisms given by his coach and improve his game.
If Mata really wants to be a regular in the Spanish national, he will have to improve his game and track the ball kama wanavyofanya akina Xavi na Iniesta.
Nyie mnaojifanya kumsifia Mata hamumtakii mema. He has got some weaknesses and must improve on them. I think Mourinho wants to get the best out of him kama alivyofanya kwa Joe Cole.
Kama Chelsea wanataka wawe kama Arsenal without trophies basi wawaache akina Mata na Hazard wacheze kama wanavyotaka wao.
Si mliona Sagna jana? He was all over the place. Lakini baada ya kufunga lile goli mashabiki wa Arsenal kimyaaaaaaaaaa. Wamesahau kabisa kuwa he was actually the weakest link.
Sidhani kama Mourinho ni wa type hiyo. Nakumbuka Joe Cole scored the winning goal against liverpool in the last minutes but still received unprecedented criticisms from his coach.
A team which does not defend will never ever win the league. Even Mikel will score before this team wins the league. Sina haja ya kuitaja. Wenyewe wanaijua.