Chelsea hauijui vizuri Chelsea ikishafika fainali haijalishi wanawakosa Nani lakini tegemea kwenye suala zima la kujitoa na kujituma utaliona kwao na mpira wataupiga mwingi mbona tumechukua Uefa champions league bila ya Kovacic ingawa kocha TT mwenyewe amethibitisha Kovacic atakuwepo kwenye game ya leoTimu isiokua na Kova, tusahau kuhusu kushinda. Tuombe tu tusifungwe mengi