Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa mfano nani achapwe viboko? Mi naona wachezaji karibia wote uwezo wao ndio umeishia hapo.

Kuwachapa viboko Kante, Jog, Azip, cheek, Pulisic, Alonso ni kuwaonea

Tunahitaji wachezaji wengine wenye ubunifu/uwezo mkubwa + Energy zaidi ya hawa tulionao.
Hawa hapa chini wachapwe viboko 12 tena za matakoni na mbele ya girlfirends zao
Odoi, Werner, Pulisic, Havertz, Ziyech, hao akina Jorginho auzwe au asepe, Kante tunamuhitaji hata asipocheza, azeekee Chelsea
Cheek bado hajatumiwa sana japo mimi ningelia na hao wa idara ya kule mbele kabisa ambao ndio nimewataja

Mount Anajitahidi asichapwe
 
Kwa mfano nani achapwe viboko? Mi naona wachezaji karibia wote uwezo wao ndio umeishia hapo.

Kuwachapa viboko Kante, Jog, Azip, cheek, Pulisic, Alonso ni kuwaonea

Tunahitaji wachezaji wengine wenye ubunifu/uwezo mkubwa + Energy zaidi ya hawa tulionao.
Tukiendelea kujenga tabia ya kutatua matatizo ya wachezaji kwa kuingia sokoni nakuambia hata tuwalete world class, kama tatizo ni la kocha tutazeekea hapo karibu na jiko tunanusa tu EPL huku wenzetu wakifaidi jikoni. Wajibu wa kila mtu utadhminiwe, mmiliki, bodi, kocha na benchi lake na mchezaji mmoja mmoja
 
Ili msimu ujao tushindane vizuri, head2head na Liver na Man city ni lazima tumlete Lewandowski darajani hata kama ni kwa kuvunja benki

City wana Haaland
Liverpool mbele wako vizuri labda Salah aondoke
Spurs wana Kane na Son labda washindwe kuimarisha katikati na Kocha atimue
Sioni Chelsea tukifanya vizuri zaidi ya namba 3 kama hatutamleta Lewandowski
Halafu niliona Fabrizio Romano karipoti Lewandowski kagoma kuongeza mkataba Bayern
 
Chelsea hapo inaingia kwenye na. 2, tuko karibu sawa na Newcastle
Owners wana assets za zaidi ya
  1. Mark Walter $310 billion
  2. Clearlake Capital $72 billion
  3. Hansjoerg Wyss $5 billion
  4. Todd Boehly $4.5 billion
TOTAL = $391.5 billion
Inakuwaje huyu Todd anapewa kipaumbele wakati ana mpunga kidogo?
 
Hawa hapa chini wachapwe viboko 12 tena za matakoni na mbele ya girlfirends zao
Odoi, Werner, Pulisic, Havertz, Ziyech, hao akina Jorginho auzwe au asepe, Kante tunamuhitaji hata asipocheza, azeekee Chelsea
Cheek bado hajatumiwa sana japo mimi ningelia na hao wa idara ya kule mbele kabisa ambao ndio nimewataja

Mount Anajitahidi asichapwe
Baada ya wachezaji, wafate mashabiki wa Chelsea kuchapwa viboko kwa kishabikia timu bovu linalopoteza fainali mbili mfululizo!!
 
Waanzilishi wa mfuko wa CLEARLAKE CAPITAL FUND ni Jose Feliciano na Behdad Eghbali.

Huyu Behdad Eghbali ndio atakuwa bega kwa Bega na Toddy Boehly kwenye maamuzi ya kipesa THE BLUES.
Kama CLEARLAKE CAPITAL FUND wamenunua share kama institution basi individuals hawatahesabiwa, CLEARLAKE CAPITAL FUND atahesabiwa kama shareholder
 
Kwa mfano nani achapwe viboko? Mi naona wachezaji karibia wote uwezo wao ndio umeishia hapo.

Kuwachapa viboko Kante, Jog, Azip, cheek, Pulisic, Alonso ni kuwaonea

Tunahitaji wachezaji wengine wenye ubunifu/uwezo mkubwa + Energy zaidi ya hawa tulionao.
Mkuu ukisema ivi itakulazimu usajiri kikosi kizima kila msimu. Kocha ana kazi ya kuongea na wachezaji waongeze ari ya kujituma. Angalia mtu kama Mount kadri muda unavyozidi kwenda ndio anazidi kupandisha kiwango. Angalia Kai kadri muda unavyozidi kwenda ndio anazidi kupata ukomavu wa mwili na akili the same kwa Odoi na Werner unaona kabisa wachezaji hao kiwango wanachoonesha ni chini ya ule uwezo unaoujua sasa wakizembea ndio wanahitaji manager mkali. Lakini mtu kama Pulisic unaona kabisa uyu mtu uwezo wake ndio umeishia pale unaishia kuandika kwenye vitabu this is failed business kwa hiyo hana haja ya kuchapwa
 
Mkuu ukisema ivi itakulazimu usajiri kikosi kizima kila msimu. Kocha ana kazi ya kuongea na wachezaji waongeze ari ya kujituma. Angalia mtu kama Mount kadri muda unavyozidi kwenda ndio anazidi kupandisha kiwango. Angalia Kai kadri muda unavyozidi kwenda ndio anazidi kupata ukomavu wa mwili na akili the same kwa Odoi na Werner unaona kabisa wachezaji hao kiwango wanachoonesha ni chini ya ule uwezo unaoujua sasa wakizembea ndio wanahitaji manager mkali. Lakini mtu kama Pulisic unaona kabisa uyu mtu uwezo wake ndio umeishia pale unaishia kuandika kwenye vitabu this is failed business kwa hiyo hana haja ya kuchapwa
Ukitaka kujua hawa wachezaji wana uwezo mkubwa angalia walivyocheza chini ya TT akiwa mgeni, ligi wakafanya vizuri mwanzoni mwa TT january to june 2021 na pia Aug to Nov 2021. Wamecheza vizuri dhidi ya Liverpool mechi zote 3 msimu huu ila sasa wameshamzoea TT wamemfanya kuwa mjomba wao.
 
Sioni sababu huyu Mount kutokuchukua hii tuzo maana kawazidi wote hapo kwa kila kitu. Kama Reece asingepata majeraha naamini kwenye hizi tuzo tusingemkosa
Screenshot_20220513-172951_1652469660990.jpg
 
Ukitaka kujua hawa wachezaji wana uwezo mkubwa angalia walivyocheza chini ya TT akiwa mgeni, ligi wakafanya vizuri mwanzoni mwa TT january to june 2021 na pia Aug to Nov 2021. Wamecheza vizuri dhidi ya Liverpool mechi zote 3 msimu huu ila sasa wameshamzoea TT wamemfanya kuwa mjomba wao.
Hapa kocha anatakiwa kuwa mkali wasilete mambo ya enzi za Roman wakaanza kuzembea ili kocha atimuliwe kama ilivyomtokea Conte na ugomvi wake na kina Costa, Willian na Fabregas
 
Kuna hii makala nimeisoma kule kwenye website ya liverpool wakieleza jinsi wanavyomuogopa Tod Boehly
Wansema huyu akipewa usukani wa Chelsea anaweza kuidhoofisha Liverpool kama alivyofanya kwenye timu ya Red Sox inayomilikiwa na FSG ambayo LA Dodger baseball timu inayomilikiwa na Todd ilimchukua mchezaji wao muhimu aitwaye Mookie Betts na wakampa mkataba wa miaka 12 na mshahara mnono. Wakati LA Dodger inafanya vizuri Red Sox imeshika mkia
Sasa mashabiki wa Liverpool wanawasiwasi Todd ana agenda ya siri ya kumchukua Salah, Mane na wengineo, Wana wasiwasi kwammba huyu bwana anakuja Chelsea lakini jicho lake la pili liko Anfield kwa kupora vipaji vyao
 
Wewe TODDY Unaweza ukawa na wazo la biashara ila una mtaji mdogo, ukatushirikisha marafiki zako (MARK, WYSS, CLEARLAKE CAPITAL) tukakuongezea mtaji.

Wewe ukaendelea kuwa controller wa hiyo biashara, kwa masharti kuwa ni biashara yako umeibuni, sisi utakugawia magawio ya faida.

Ila mimi rafiki yako CLEARLAKE CAPITAL FUND niliyekupa mtaji mkubwa, zaidi ya asilimia 60% nitataka unishirikishe zaidi kwenye miahamala ya kifedha kwenye hiyo biashara. Kwa sababu ikifa mimi ndio nitakuwa nimepoteza pesa nyingi
Kwenye kampuni sio lazima mwenye hisa nyingi awe msimamizi mkuu wa shighuli za kampuni. Kulingana na nguvu na uwezo na uzoefu, mmiliki anaweza akaa pembeni wakampa mmoja wao wanaomuamini ana uwezo, uzoefu na nguvu ya kusimamia hiyo timu kwa mafanikio makubwa. Naona Todd kawekwa hapo kimkakati
 
Ukitaka kujua hawa wachezaji wana uwezo mkubwa angalia walivyocheza chini ya TT akiwa mgeni, ligi wakafanya vizuri mwanzoni mwa TT january to june 2021 na pia Aug to Nov 2021. Wamecheza vizuri dhidi ya Liverpool mechi zote 3 msimu huu ila sasa wameshamzoea TT wamemfanya kuwa mjomba wao.
Lakini wakati mwingine unaweza kumlaumu kocha ila swala la kumantain perfomance ni knowledge watu wanasomea shuleni ma AFISA UTUMISHI (HR) wananielewa hapa. Yan ni kazi kubwa kufanya kiwango cha mchezaji kiendelee kuwa vilevile na kuzidi kupanda otherwise inahitaji juhudi za mchazaji mwenyewe kama KDB, Kane otherwise hawa wengine ni kuwasukuma tu na hapo ndio kazi ilipo.
 
Lakini wakati mwingine unaweza kumlaumu kocha ila swala la kumantain perfomance ni knowledge watu wanasomea shuleni ma AFISA UTUMISHI (HR) wananielewa hapa. Yan ni kazi kubwa kufanya kiwango cha mchezaji kiendelee kuwa vilevile na kuzidi kupanda otherwise inahitaji juhudi za mchazaji mwenyewe kama KDB, Kane otherwise hawa wengine ni kuwasukuma tu na hapo ndio kazi ilipo.
Dressing room kukiwa na leadership nzuri, kocha mwenye kujua na uzoefu wa kuinua viwango vya wachezaji na chemistry nzuri ya wachezaji inasaidia
Kitu ambacho mimi sikiamiani ni kufanya usajili wa wachezaji wapya kama muwa arobaini wa kuondoa hayo matatizo. Usajili na sura ngeniu inasaidia sikatai ila sio kila wakati

Tuchukulie mfano wa TOTAL FAILURE YA MANURE, wanaparamia soko na kuishia kuwa na fragmented team
 
Hii mechi inavyoelekea leo sitaweza kuiangalia. Wametukatia umeme nyumbani na ofisini na mimi sijazoea kwenda kwenye vibanda umiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom