Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bukayo Saka 2021/22 Stats Epl.

Michezo 36 [emoji837]
Mabao 11
Assist 6

Mason Mount 2021/22 Stats Epl.

Michezo 31 [emoji838]
Mabao 11
Assist 10

Bukayo yuko kwenye tuzo za mchezaji bora wa msimu "EPL" Mason Mount hayupo [emoji848]
20220513_172153.jpg
 
Ishu ya usajili bado mfu kwetu. Tusibirie hiyo tarehe 31 boss TODDY BOEHLY atakapokamilisha taratibu za kuinunua THE BLUES rasmi.

Tunavyoongea mpaka sasa TODDY amesign mikataba ya awali ngazi ya club na bado mikataba ya kiserikali.

Baada ya kukamilisha utaratibu wa kuinunua THE BLUES nadhani ndio atakaa na uongozi wa club + kocha (Malengo + Mahitaji), naye bosi atoe maono yake kuhusu harakati za usajili.

Ikumbukwe TODDY amesema style yake ya usajili itakuwa kama Liverpool (scouting ya hali ya juu + Sajili za kimkakati + Ada za kawaida + vipaji vikubwa = World class players)
Naipenda hiyo aproach, mchezaji hachezi kwa presure kubwa kama Lukaku, paundi mil 100, matarajio makubwa sana hadi jamaa kafloti
 
Bukayo Saka 2021/22 Stats Epl.

Michezo 36 [emoji837]
Mabao 11
Assist 6

Mason Mount 2021/22 Stats Epl.

Michezo 31 [emoji838]
Mabao 11
Assist 10

Bukayo yuko kwenye tuzo za mchezaji bora wa msimu "EPL" Mason Mount hayupo [emoji848] View attachment 2223087
Hata Kane, Mane hawapo, nafikiri kuna vigezo stricly zaidi ya ufungaji
Ila frankly speaking kama moja kubwa ni kuisaidia timu kufanya vizuri kwenye mashindano ya ndani na nje wachezaji kama James Ward-Prowse, Bukayo Saka wamesaidia nini zaidi ya Mason Mount wa Chelsea
  1. Trent Alexander-Arnold (Liverpool)
  2. Jarrod Bowen (West Ham)
  3. João Cancelo (Manchester City)
  4. Kevin De Bruyne (Manchester City)
  5. Bukayo Saka (Arsenal)
  6. Mohamed Salah (Liverpool)
  7. Son Heung-min (Tottenham)
  8. James Ward-Prowse (Southampton)
 
Kama ni kweli itakua mbadala mzuri wa AlonsoView attachment 2223044
Yeah sio mbaya kwakuwa n free agent ...kama akija ataongeza experience na uongozi kwenye timu...Afu jamaa upgrade nzuri ya Alonso ana Kasi , ni ball dancer mzuri, na ana mwaga maji balaa....shida Labda niulize Chelsea si wamesimamishwa sahv au kunegotiate na wachezaji inaruhusiwa?
 
Yeah sio mbaya kwakuwa n free agent ...kama akija ataongeza experience na uongozi kwenye timu...Afu jamaa upgrade nzuri ya Alonso ana Kasi , ni ball dancer mzuri, na ana mwaga maji balaa....shida Labda niulize Chelsea si wamesimamishwa sahv au kunegotiate na wachezaji inaruhusiwa?
But hazuwiliwi kufanya talks na kufikia verbal agreement,
 
Ivan Perisic has 'no agreement' with any club. Thomas Tuchel has appreciated him since January, but #Chelsea are still waiting to negotiate.

[via @FabrizioRomano]
 
Yeah sio mbaya kwakuwa n free agent ...kama akija ataongeza experience na uongozi kwenye timu...Afu jamaa upgrade nzuri ya Alonso ana Kasi , ni ball dancer mzuri, na ana mwaga maji balaa....shida Labda niulize Chelsea si wamesimamishwa sahv au kunegotiate na wachezaji inaruhusiwa?
Negotiation tu na sio kuingia mkataba rasmi
 
Vs Liverkuku

--------- PULISIC ----- LUKAKU ------ MOUNT------

ALONSO -- JOGNHO -- LFC/KANTE - JAMES

-------- RUDGER ---- SILVA ---- CHALOBAH ------

[emoji117] Kwa kikosi hiki kikiamua kucheza kwa kujitoa kwa zaidi ya 80% na kupunguza makosa madogo madogo, mechi itakuwa ngumu.

[emoji117] Dah Mabingwa wa dunia tumalize msimu na kombe hili jamani. Kulikosa hili kombe itakuwa aibu kutoka kuwa bingwa wa dunia hadi fuko.
Timu isiokua na Kova, tusahau kuhusu kushinda. Tuombe tu tusifungwe mengi
 
itakuwa ni aibu ya mwaka kufungwa na liverkuku final mbili mfululizo ...!

Liverpool kashakata upepo ,kule mbele wanafunga kwa mbinde Sana ,magoli ya kutumia nguvu ,kama villareal aliwachapa goli mbili ndani ya dakika 32 ,nyie mnashindwa vipi ...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom