Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa nini unapgia hesabu chelsea tu ndio itafungwa?
Wakati timu dhaifu hapo ni Arse88
Ndio sheria za sayansi ya hesabu ndg. Ukiasume hali fulani lazima uwe na costant figure na costant figure yetu ni wao kushinda
 
Ndio sheria za sayansi ya hesabu ndg. Ukiasume hali fulani lazima uwe na costant figure na costant figure yetu ni wao kushinda
Sayansi kw hii arse888 yenye wachezaji mashoga. hata haiapply.
Arsenal nafasi yao ya tano, utakuja kuniambia msimu ukiisha.
 
Picsart_22-05-13_10-20-37-773.jpg


Kumbe Arsenyeto wanataka msuguano

Picsart_22-05-13_10-19-18-058.jpg

Arsenyeto wamechafukwa
 
Sayansi kw hii arse888 yenye wachezaji mashoga. hata haiapply.
Arsenal nafasi yao ya tano, utakuja kuniambia msimu ukiisha.
Bado wanazo points 6 wanauwezo wa kuzichukua zote
Na sisi tunazo points 6 ambazo uwezekano wa kuzipoteza zote bado upo
Mpira bana hautabiriki
 
Vs Liverkuku

--------- PULISIC ----- LUKAKU ------ MOUNT------

ALONSO -- JOGNHO -- LFC/KANTE - JAMES

-------- RUDGER ---- SILVA ---- CHALOBAH ------

[emoji117] Kwa kikosi hiki kikiamua kucheza kwa kujitoa kwa zaidi ya 80% na kupunguza makosa madogo madogo, mechi itakuwa ngumu.

[emoji117] Dah Mabingwa wa dunia tumalize msimu na kombe hili jamani. Kulikosa hili kombe itakuwa aibu kutoka kuwa bingwa wa dunia hadi fuko.
Mimi naona kwa jo akae Kova kama hajaumia
Kwa pulisic weka Werner
Kwa Chalobah weka Christansen huyu naona katubu
Ambaye hajatubu bado ni Azpilicueat

Na mtindo uwe ule ule kumpa Lukaku mipira kama mvua za mawe

----------------- LUKAKU -----------------

--------- WERNER ---------------- MOUNT------

ALONSO ---- KOVACIC ---- KANTE ---- JAMES

-------- RUDGER ----- SILVA ---- CHRISTANSEN ------

----------------- MENDY ----------------
 
Chelsea tunapewa leseni ya kudumu isiyo na masharti lini?
Premium League wamesema wiki hii au mwanzoni mwa wiki ijayo
 
Mimi naona kwa jo akae Kova kama hajaumia
Kwa pulisic weka Werner
Kwa Chalobah weka Christansen huyu naona katubu
Ambaye hajatubu bado ni Azpilicueat

Na mtindo uwe ule ule kumpa Lukaku mipira kama mvua za mawe

----------------- LUKAKU -----------------

--------- WERNER ---------------- MOUNT------

ALONSO ---- KOVACIC ---- KANTE ---- JAMES

-------- RUDGER ----- SILVA ---- CHRISTANSEN ------

----------------- MENDY ----------------
Christensen tangu apelekeshwe na yule winga wa Madrid simtamani tena nazani chalobah ndio mtu sahihi kwasababu yupo aggressive and sharpness kuendana na kasi ya Diaz.
 
Vs Liverkuku

--------- PULISIC ----- LUKAKU ------ MOUNT------

ALONSO -- JOGNHO -- LFC/KANTE - JAMES

-------- RUDGER ---- SILVA ---- CHALOBAH ------

[emoji117] Kwa kikosi hiki kikiamua kucheza kwa kujitoa kwa zaidi ya 80% na kupunguza makosa madogo madogo, mechi itakuwa ngumu.

[emoji117] Dah Mabingwa wa dunia tumalize msimu na kombe hili jamani. Kulikosa hili kombe itakuwa aibu kutoka kuwa bingwa wa dunia hadi fuko.
Sio aibu tuu itakua tunalipoteza hilo kombe mala ya 3 mfululizo
 
Ivan Perisic has reached an agreement with Chelsea. Only medical examinations and his signature are missing.

- @sportmediaset via @Inter_Xtra
 
Christensen tangu apelekeshwe na yule winga wa Madrid simtamani tena nazani chalobah ndio mtu sahihi kwasababu yupo aggressive and sharpness kuendana na kasi ya Diaz.
Bado unamuamini Chalobah, anahitaji kupata exposure kwenye mechi kubwa. Mimi naamini Christansen Rudiger na Silva wakiwa serious tunaweza kuwazuia akina Mane, Dias na Salah
Ila tukibet kwa Chalobah, tunaweza tukapotezwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom