Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Boss (TODD) yupo uwanjani
Ingekuwa Liverpool goalIla goli la Werner tumedhulumiwa
Sasa hivi ni mwendo wa kuwapiga BLOCK wajinga wajinga hapa wanaotoa comment za chuki na rubbish.
Kuna ile takataka ya Liver na nyumbu mbili nimeshazipiga Block.




kenge moja imeshapanic tayari.Inzi mmejaa sana humu hadi keroLembua na sisi wapita njia tunasema leo jioni nyie kenge wa darajani mnaenda kuliwa na mbwa mwitu.
Masikitiko yangu ni kuwaona nyie kenge mnachomolewa kwenye top4 msimu huu na kuungana na nyumbu kwenye ligi ya matopeni.
Achana na sisi ,pambana na yakoUCL nyie ni underdog
Kilio cha hao mbwa manazisikia huko darajani. Sisi hatubembelezi mbwaLembua na sisi wapita njia tunasema leo jioni nyie kenge wa darajani mnaenda kuliwa na mbwa mwitu.
Masikitiko yangu ni kuwaona nyie kenge mnachomolewa kwenye top4 msimu huu na kuungana na nyumbu kwenye ligi ya matopeni.
Kashatumbukiza 2 huko bado 1 apate hatrickLukaku confidence imeshuka. So far anajitahidi kurudi mchezoni
Boss (TODD) yupo uwanjani