Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii mechi inavyoelekea leo sitaweza kuiangalia. Wametukatia umeme nyumbani na ofisini na mimi sijazoea kwenda kwenye vibanda umiza
Unazingua aise Lembu ujui raa ya vibanda umiza aise haha😂😂😂
Kule Kuna kila Aina ya utani, majungu kule ndio tunabwabwaja balaa Yani raa ya mupira kule vibanda umiza bana
 
Hii mechi inavyoelekea leo sitaweza kuiangalia. Wametukatia umeme nyumbani na ofisini na mimi sijazoea kwenda kwenye vibanda umiza
Nyie makenge leo nyumbu wote tunasimama na nyinyi ole wenu mtuangushe.
 
Lukaku akiacha ufala wake dakika za mwanzo tu kipindi cha pili mnawaweka hawa ma broiler.
 
Oyaa Mimi napotea ewani hapa mechi kaa izi schekigi kabisa anii..

Kila la kheri wazee ..tukishinda POA, tukipigwa POA.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Acha uwoga wewe kenge.
Haiwezekani Carabao wawanyime halafu na FA pia wachukue wao.
Hili kombe lazima The Blauz wabebe.
 
Moja kati ya makocha ambao hufurahisha sana kwenye reactions ni klopp[emoji23].

Sema hapa kwenye usajili wa Luis Diaz hamkupoteza pesa zenu, jamaa ni fighter.

Sijapotea jukwaa, nimemaanisha[emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom