computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,034
EheeeeeeeeeWewe unaamini unachukua point 3 kwa leeds?
EheeeeeeeeeWewe unaamini unachukua point 3 kwa leeds?
EheeeeeeeeeMkuu kama wewe ni Arsenal na kuhakikishia Arsenal hatakua top 4 mwaka huu mwisho wa ligi. Kaangalie matches zinazokuja. New castle utd, Tottenham, nk hao msahau kuwafungagame ya leo tu mnafungwa au draw
YAMETIMIA only 1 point inatutenganishaHalafu ukitoka hapo unakutana na nani?
Wewe si mshabiki wa PSGEheeeeeeeee
Vipi unaendelea kupiga ramli?6 hamfiki, mkikata uneme hasi may 22
Mmevakiza pts 3 tu
Mtatoa droo 3 na kufungwa moja
Arsenal leo kafungwa au kadraw?tupe results kwanza yes my second team ni PSGWewe si mshabiki wa PSG
Bado mmoja wakumvuta shat ChelsickKuna unayeona anaweza kuokota hata droo hapo?
Ratiba ya Chelsea Kuna wawili wana weza mvuta shati, wolves kashapigika mech 4, anataka kufufukia kwa Chelsea
NyumbuLeeds
Spurs
Newcastle
Everton
Hahahahahahahahahah!
Ila ulisema umehama Arsenal au umesahau?Arsenal leo kafungwa au kadraw?tupe results kwanza yes my second team ni PSG
Hii Ali update alianza toka mech na westham ,Kwahiyo bado point 1 tu ujipige Ban ya mwezi mmoja mkuu?
Umahamisha mada haya tufanye sipo Arsenal je leo Arsenal amefungwa au amedraw?Ila ulisema umehama Arsenal au umesahau?
Wewe sio mshabiki wa Arsenal mtu ambaye anayetakiwa nimjibu ni lazima awe ni mshabiki wa ArsenalUmahamisha mada haya tufanye sipo Arsenal je leo Arsenal amefungwa au amedraw?
Mamamamanina na bado next game unaachia position utakalia ukuni wa LeedsWewe sio mshabiki wa Arsenal mtu ambaye anayetakiwa nimjibu ni lazima awe ni mshabiki wa Arsenal
Unaongea hivyo kama nani?Mamamamanina na bado next game unaachia position utakalia ukuni wa Leeds
Mume wenuUnaongea hivyo kama nani?
Arse88 mkimaliza top4, naacha kushabikia mpira.Umahamisha mada haya tufanye sipo Arsenal je leo Arsenal amefungwa au amedraw?
Aah wapi Mzee ndoto za arinacha hzo km kuingia mtaingia kushiriki TuHahaha unanifanya nikune kidevu mkuu kwa Furaha nikiwa nakumbuka kauli ya mama kwamba Time will tell

Hakuna kipa umo. Bora hata yule dogo tulomuuza PSGHivi tukimuuza KEPPA, tukamsajili huyu kipa wa Everton Pickford kuna ubaya gani?
Naona kama Pickford anaweza kumuweka Mendy benchi.
Hivi wewe kumbe ni Ass anal!!Nyie wenda wazimu nawapumulia mgongoni.
Gap ya point 1 halafu bado mnapitisha mikia kule kwenye jukwaa la wahuni.![]()


