Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kesho muda kama huu only 1 point itakuwa imetutenganisha then we will see katika those 3 games zilizobakia
 
1651979554202.png
 
Bosi anapiga mpaka miluzi, hiki ni kiashiria kwamba anapenda mpira, anapenda kushangalia ushindi na mafanikio.

THE BLUES ipo kwenye mikono Salama, Makombe mengi yanakuja.View attachment 2216287
Hv n kwann yeye ndo anaonekana kama mmiliki haswa wakati wapo watatu, hao wengine kama hawazungumzwi sana au jamaa ndo katoa $ nyingi.?
 
Tomorrow only 1 point itakuwa imetutenganisha na nyie bro nakupa taarifa mapema
Mkuu kama wewe ni Arsenal na kuhakikishia Arsenal hatakua top 4 mwaka huu mwisho wa ligi. Kaangalie matches zinazokuja. New castle utd, Tottenham, nk hao msahau kuwafunga 🤣🤣🤣 game ya leo tu mnafungwa au draw
 
Nakumbuka cku moja nikiwa nimekaa mahali flan hiv amazing nikiwa natazama mechi ya arsenal vs Bayern niliwambia washikaji ipo siku ntaludi uefa league ila natamani uho msimu ntakao ludi uefa ,
team zote za London ziwe zinapambana na arsenal kwenye top four ili nkashangaze dunia kwamba fainal ya arsenal vs Barcelona inajiludia
Arsenal tunaludi uefa utake usitake
 
THE BLUES NEXT FIXTURES

Leeds:- Anapambana asishuke daraja, hapa lazima tule kipigo

Leicester:- Mid team tunaweza kuchoshana nguvu

Watford:- Ameshashuka daraja, atacheza bora liende na akikutana na sisi bora limsimu liishe, mechi inaweza kuwa kituko.

THE BLUES kikosi chetu kwa sasa kime expire. Msimu uishe tujipange kivingine
Watu Mbona mpo negative hivyo
 
Nakumbuka cku moja nikiwa nimekaa mahali flan hiv amazing nikiwa natazama mechi ya arsenal vs Bayern niliwambia washikaji ipo siku ntaludi uefa league ila natamani uho msimu ntakao ludi uefa ,
team zote za London ziwe zinapambana na arsenal kwenye top four ili nkashangaze dunia kwamba fainal ya arsenal vs Barcelona inajiludia
Arsenal tunaludi uefa utake usitake
Uefa haihitaji timu dhaifu kama arsenal.mtaenda kuaibisha Tu kupigwa Saba huko
 
Nakumbuka cku moja nikiwa nimekaa mahali flan hiv amazing nikiwa natazama mechi ya arsenal vs Bayern niliwambia washikaji ipo siku ntaludi uefa league ila natamani uho msimu ntakao ludi uefa ,
team zote za London ziwe zinapambana na arsenal kwenye top four ili nkashangaze dunia kwamba fainal ya arsenal vs Barcelona inajiludia
Arsenal tunaludi uefa utake usitake
Timu za uingereza zinazoweza kucompete ulaya ni Liverpool,city na Chelsea Tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom