Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hivi mnaosema pep kafeli city wakati kila mwaka anachukua kombe ,anageuza hiyo league yenu mnayoita ngumu kuwa bundasligahuwa mnakuwa mnamaanisha Nini au ni haters tu...! Najua mtasema sijui CL ila Hilo sio kombe la lazima mjue ,hakuna sehemu wanasema lazima uchukue CL
![]()
Kwani wapi imeandikwa lazima achukue Carabao, FA na EPL? Mbona anayapigania kwelikweli ili ayabebe?
