Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi mnaosema pep kafeli city wakati kila mwaka anachukua kombe ,anageuza hiyo league yenu mnayoita ngumu kuwa bundasliga huwa mnakuwa mnamaanisha Nini au ni haters tu...! Najua mtasema sijui CL ila Hilo sio kombe la lazima mjue ,hakuna sehemu wanasema lazima uchukue CL

Kwani wapi imeandikwa lazima achukue Carabao, FA na EPL? Mbona anayapigania kwelikweli ili ayabebe?
 
Chelsea ikishinda mechi na Leeds halafu Arsenal akamfunga au akadroo na Spurs, Chelsea itakuwa imefuzu UCL mwakani kabla ya mechi 2
Arsenal akifungwa itacomplicate kila kitu kwa timu hizo tatu
 
Mshahara wa Edourd Mendy ni £52,000/week
Mshahara wa Pulisic ni £150,000/wiki
Mshahara wa Odoi ni £130,000/wiki
Mshahara wa Romelu Lukaku ni £350,000/wiki
Mshahara wa Timo Werner ni £272,000/wiki
Mshahara wa Saul Niguez ni £198,269/wiki
Mshahara wa Kepa Arrizabalaga ni £155,000/wiki
 
Mshahara wa Edourd Mendy ni £52,000/week
Mshahara wa Pulisic ni £150,000/wiki
Mshahara wa Odoi ni £130,000/wiki
Mshahara wa Romelu Lukaku ni £350,000/wiki
Mshahara wa Timo Werner ni £272,000/wiki
Mshahara wa Saul Niguez ni £198,269/wiki
Mshahara wa Kepa Arrizabalaga ni £155,000/wiki

Werner na Lukaku kwa pamoja wanakula £622,000/= per week! Sasa angalia hicho wanachodeliver uwanjani halafu wao wanadunda mtaani eti Kibaka aliyeiba Sandals za Shilingi elfu 25,000/= pale Kariakoo ndiyo anachomwa moto 😂😂😂
 
Imebidi nicheke tuu
Picsart_22-05-10_17-58-19-528.jpg
 
Sijui ni umri, sometimes Havertz anafanya very stupid decisions
Jana kuna mpira alipewa kulia kwenye golden chance alikuwa ampasie tu Pulisic afunge yeye akaamua kuupiga wide right just bila hata kujali
Sio havertz tu, wachezaj wetu wengi tu wanhii tabia utakuta mtu kafungua badala ya kumpasia afunge ila utakuta anataka afunge yeye na mwisho wa siku wanapoteza chance
 
Based na taarifa mbali mbali
Target yetu mwezi wa 6 kwa upande wa defens ni
Kounde wa Sevilla
Koulibaly wa Napol (tetes zimeanza kuzuka )
Pau Torres wa Villareal-Huku taarifa zikiendelea kusema scout wetu mara kadhaa wameenda kumshuhudia Pau torres tho nimmoja kati ya wachezaji wanaotakiwa.
Josco Gvardiol wa RB Liepzig
Bremier wa Torino


Pia tetesi zimeendelea kusema kutasajiliwq 2cb wakiwango cha juu huku ikisemekana Todd Boehly yuko tayar kumpa support Thomas Tuchel kwenye usajil.

Usajili wa kiungo, huenda ukawa kati Aurellin Tchoumaen or Declan Rice hawa ndio wanaotajwa sana, ila usajil wowote wa kiungo huenda ukategemea kuondoka kati ya kiungo mmojawapo aloyepo
 
Based na taarifa mbali mbali
Target yetu mwezi wa 6 kwa upande wa defens ni
Kounde wa Sevilla
Koulibaly wa Napol (tetes zimeanza kuzuka )
Pau Torres wa Villareal-Huku taarifa zikiendelea kusema scout wetu mara kadhaa wameenda kumshuhudia Pau torres tho nimmoja kati ya wachezaji wanaotakiwa.
Josco Gvardiol wa RB Liepzig
Bremier wa Torino


Pia tetesi zimeendelea kusema kutasajiliwq 2cb wakiwango cha juu huku ikisemekana Todd Boehly yuko tayar kumpa support Thomas Tuchel kwenye usajil.

Usajili wa kiungo, huenda ukawa kati Aurellin Tchoumaen or Declan Rice hawa ndio wanaotajwa sana, ila usajil wowote wa kiungo huenda ukategemea kuondoka kati ya kiungo mmojawapo aloyepo
Binafsi sijawahigi kumkubali Declan Rice, sijui huwa mnakiona nini kwake, ila ngoja tuone kama atakuja.
 
Werner na Lukaku kwa pamoja wanakula £622,000/= per week! Sasa angalia hicho wanachodeliver uwanjani halafu wao wanadunda mtaani eti Kibaka aliyeiba Sandals za Shilingi elfu 25,000/= pale Kariakoo ndiyo anachomwa moto 😂😂😂
Inasikitisha kuona Mendy analipwa hiyo hela wakati saul ambayo mechi nyinyi kakaa benchi analipwa hela no
 
Based na taarifa mbali mbali
Target yetu mwezi wa 6 kwa upande wa defens ni
Kounde wa Sevilla
Koulibaly wa Napol (tetes zimeanza kuzuka )
Pau Torres wa Villareal-Huku taarifa zikiendelea kusema scout wetu mara kadhaa wameenda kumshuhudia Pau torres tho nimmoja kati ya wachezaji wanaotakiwa.
Josco Gvardiol wa RB Liepzig
Bremier wa Torino


Pia tetesi zimeendelea kusema kutasajiliwq 2cb wakiwango cha juu huku ikisemekana Todd Boehly yuko tayar kumpa support Thomas Tuchel kwenye usajil.

Usajili wa kiungo, huenda ukawa kati Aurellin Tchoumaen or Declan Rice hawa ndio wanaotajwa sana, ila usajil wowote wa kiungo huenda ukategemea kuondoka kati ya kiungo mmojawapo aloyepo
Jorginho aondoke atupishe, tunahitaji kiungo mwenye stamina
Koulubally mzee hafai na sio wote watacheza kama Silva
 
Jorginho aondoke atupishe, tunahitaji kiungo mwenye stamina
Koulubally mzee hafai na sio wote watacheza kama Silva
Koulibaly ndio kwanza amefikisha 30, stil anaweza kuwa msaada kwa miaka 3,
Since amebakiza 1yr katkka mkataba wake ni rahisi kumpata kwa bei ndogo 25-30ML

Anaweza tupa kile ambacho Van dijk anachowapa liverpool or Dias anachowapa City,

Silva sidhan kama next season atakuwa anacheza mara kwa mara
 
Inasikitisha kuona Mendy analipwa hiyo hela wakati saul ambayo mechi nyinyi kakaa benchi analipwa hela no
Marina alivuruga sana kwa usajil wa saul, we had a good chance ya kumsajil tchouemen kwa bei ndogo tu, tungeweza msajil na tukamuacha kwa mkopo huku
 
Nikikumbuka kuna wana hapa walikuwa wanasema Halland ni shabiki wa Chelsea na anapenda kuja kuichezea Chelsea 😂😂 aisee mpaka nachoka kukumbuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom