Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Boss Toddy akasonya na kusonya baada ya matokeo kuwa ni 2:2, akajisemea li tim gani hili nimelinunua? Sibora ningenunua tu Norwich City?


Boss Toddy akasonya na kusonya baada ya matokeo kuwa ni 2:2, akajisemea li tim gani hili nimelinunua? Sibora ningenunua tu Norwich City?


Ukisema hivyo utaonekana sio shabikliKinachofanya Chelsea aendelee kuwepo Top 4 ni ubovu wa ARSENAL, MAN U NA TOTTENHAM
Haipo kwenye contention ya top four, ilishatoka huko mda.Itolewe kwani imekuwa midtable team?
Aisee ningeweka mzigo mapema sanaMapema Tu hapo Lukaku to score option
Mtoa mada kwani ana maanisha sasa, si tangu hu8ko nyuma wakati na manure akiwa kwente contention?Haipo kwenye contention ya top four, ilishatoka huko mda.
Sio mtoa mada, mleta post.Mtoa mada kwani ana maanisha sasa, si tangu hu8ko nyuma wakati na manure akiwa kwente contention?
Ili aendelee kuiuza timLukaku kapata tetesi kuwa anaweza kuuzwa nini msimu ujao?
Naona anafanya Mitikasi ya kubakia Darajani![]()




Kwa hiyo umeamua kutokea kwa style hiyo. HongeraSio mtoa mada, mleta post.
Kutokea kivipi mkuu?Kwa hiyo umeamua kutokea kwa style hiyo. Hongera
Hayo ya baadae sisi hayatuhusu. Tutaangalia ya wakati huu.Spurs wana
Watapata points tu kwa Norwich, kwa arsenal na Burnley wanaweza pata sio zaidi ya 2
- Liverpool - leo
- Burnley
- Arsenal
- Norwich
Arsenal wana
Hwatapata zaidi ya points 6
- Leeds
- Spurs
- Newcastle
- Everton
Hawa Inzi wanatucheka lakini wao hawaangalii ngoma inaypowasubiri
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi! Rodrygo huyoSpurs Leo anaenda kumchapa liverpool
Hehehehe I am happy nakuja kukutoa hapo ulipoMna Leeds
Spurs
Everton
Hizi timu mkiokota zaidi ya points 3 nitajipiga ban ya mwezi mzima
Spurs Leo anaenda kumchapa liverpool
Wapitie huko napo simpaka waweke juhudi. Hakuna bahati bila juhudiWanaweza wakashinda kupitia Europa
Na Europa wanaweza kwenda kupitia FA
Options ziko nyingi
Kweli nyie ni kenge maana siyo kwaa kipigo hicho mlichokipata😂😂😂kusikia kwa kenge mpaka pale damu inapoanza kutoka matakoni, na style ya mbwa mwitu hua wanaanza kushambulia mkiani mpaka wahakikishe damu inatoka kwenye nusu kipenyo.
Endelea kulembua hivyohivyo, mshtue OllaChuga Oc halafu mwambie sisi ni kenge.
7-9Kwan we unachukua points ngapi game ya kesho na Leeds, Newcastle na spurs