42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Mkuu pole bhana.....Wewe jamaa ni kigagura kabisa
Maana sijapata wasaa wa kukupa pole kabisa.
Mkuu pole bhana.....Wewe jamaa ni kigagura kabisa
Mkuuu haaarifa hzo ni kweli?
NishafafanuaSijahitaji ufafanuzi wa Post yangu kutoka kwako
Kwani siku hizi kuna post watu fulani tu ndio wanaruhusiwa kuchangia?? labda huko kwenu Liverpool. Huku hata mpita njia tu ana demokrasia ya kuchangiaSijahitaji ufafanuzi wa Post yangu kutoka kwako
Lembua na sisi wapita njia tunasema leo jioni nyie kenge wa darajani mnaenda kuliwa na mbwa mwitu.Kwani siku hizi kuna post watu fulani tu ndio wanaruhusiwa kuchangia?? labda huko kwenu Liverpool. Huku hata mpita njia tu ana demokrasia ya kuchangia
Wacha tupambanie epl mkuu ..!Mkuu pole bhana.....
Maana sijapata wasaa wa kukupa pole kabisa.

UCL nyie ni underdogWacha tupambanie epl mkuu ..!
habari za udaku na uchochoroni hukoKila Mtu atarudi kwenye Timu yake ya asili kabla ya 2005

Peleka huko, mmeanza nuksiWolves tuna jambo letu
Huyu jamaa kama mganga WA kienyejiWanunuaji wenu wamekopa pesa kwa ajili ya kununua Timu, Ni mkosi mwengine huo Timu inaekwa Rehani.


Mapema Tu hapo Lukaku to score option
Tajiri uchwara huyoTaarifa zinasema leo tajiri TODDY BOEHLY atakuwa uwanjani mechi ya wolves