Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Arsenal ndiyo Timu ya kwanza kuitambulisha London kimpira.
Nakumbuka kuna mpaka Mtaa huku Tz unaitwa Highbury kwasababu ya Arsenal.
Chelsea ndiyo wamekuja kuifanyia Fraud London mpaka Serikali wanatamani life litimu lenu kwa kuitia Aibu London iliyong'rishwa na Arsenal.
Hivi arsenal wana hata champions league moja..?
 
Wekeni taarifa za mmiliki wenu mpya tuone kama ana pochi nene au tia maji tia maji.
 

Kwani ni Lini Chelsea nayo iliacha kununua Top Qualities?

Morata
Bakayoko
Pulisic
Werner
Lukaku
Kai
Kepa
Joginho
Zyech

Hao wote wamenunuliwa kwa hela kubwa sana (exclude Zyech) kwasababu ya Qualities zao halafu anasema Timu nyengine zinanunua Qualities???

Lukaku + Morata ni sawa na kununua Salah + Mane + Thiago + Diaz
 
Breaking: Todd Boehly has signed the purchase agreement to buy Chelsea in a deal worth up to £4billion and will be advanced for Government and Premier League approval after a week of intense talks.

Matt Law - Telegraph
.
IMG-20220507-WA0000.jpg
 
Kwani ni Lini Chelsea nayo iliacha kununua Top Qualities?

Morata
Bakayoko
Pulisic
Werner
Lukaku
Kai
Kepa
Joginho
Zyech

Hao wote wamenunuliwa kwa hela kubwa sana (exclude Zyech) kwasababu ya Qualities zao halafu anasema Timu nyengine zinanunua Qualities???

Lukaku + Morata ni sawa na kununua Salah + Mane + Thiago + Diaz

Kwani ni Lini Chelsea nayo iliacha kununua Top Qualities?

Morata
Bakayoko
Pulisic
Werner
Lukaku
Kai
Kepa
Joginho
Zyech

Hao wote wamenunuliwa kwa hela kubwa sana (exclude Zyech) kwasababu ya Qualities zao halafu anasema Timu nyengine zinanunua Qualities???

Lukaku + Morata ni sawa na kununua Salah + Mane + Thiago + Diaz

Sitaki kuamini kama huelewi kiingereza ninacho amini umeamua kujitoa ufahamu na kujaribu kucheza na akili zetu kubwa. Morata, Bakayoko na Pulisic hao ni top quality? Mchezaji kununuliwa kwa bei kubwa haina maana ni top quality. Ndio maana hapo wewe mwenyewe umesema Lukaku na Morata ni sawa na hao wachezaji wanne uliowataja which in fact umeongelea quality na price tag kitu ambacho hakiendi sawa. Sio kila wakati price tag inaashiria quality. Kwa hiyo acha majungu
 
Kwani ni Lini Chelsea nayo iliacha kununua Top Qualities?

Morata
Bakayoko
Pulisic
Werner
Lukaku
Kai
Kepa
Joginho
Zyech

Hao wote wamenunuliwa kwa hela kubwa sana (exclude Zyech) kwasababu ya Qualities zao halafu anasema Timu nyengine zinanunua Qualities???

Lukaku + Morata ni sawa na kununua Salah + Mane + Thiago + Diaz
Hawa wachezaji wakiwa chini ya kocha mwenye falsafa nzuri ya mpira watakuwa moto
  1. Pulisic
  2. Werner
  3. Lukaku
  4. Kai
  5. Joginho
  6. Zyech
TT ni kocha mzuri ila anategemea sana tactics kuliko vipengele vingine muhimu za mpira kama agression golini, counter attack, nk
 
Wekeni taarifa za mmiliki wenu mpya tuone kama ana pochi nene au tia maji tia maji.

Iliyobaki sasa ni Serikali ya Uingereza kutoa leseni mpya ili maisha yaendelee pale darajani na wabaya wa Chelsea wafyate mikmia yao na kufunga mabakuli zao
 
Wekeni taarifa za mmiliki wenu mpya tuone kama ana pochi nene au tia maji tia maji.
EXCLUSIVE: Chelsea FC’s new owners could be prevented from paying dividends for ten years and be bound by strict limits on the club’s indebtedness under a package of measures dubbed ‘anti-Glazer clauses’ aimed at avoiding the controversy that dogged Manchester United after…
 
Sio wote wanabahatisha bingo, wanacheza milioni anapata mmoja
Sasa U Cl ni bingo..? Unaongea nini..? Yaani arsenal na wachezaji wao wa mafungu wabebe uefa hata kama ni habati. Kwanza ili uende kuibeba uefa inabidi kwenye ligi ufanye vzr upate nafasi ya 4 za juu kwa pale EPL. Sasa aseno bwana hapo top 4 tu ni mbinde. Kweli wataweza kutoana jasho na wanaume kule CL na kingine hata wakipita hawavuki makundi 🤣🤣🤣
 
Sasa U Cl ni bingo..? Unaongea nini..? Yaani arsenal na wachezaji wao wa mafungu wabebe uefa hata kama ni habati. Kwanza ili uende kuibeba uefa inabidi kwenye ligi ufanye vzr upate nafasi ya 4 za juu kwa pale EPL. Sasa aseno bwana hapo top 4 tu ni mbinde. Kweli wataweza kutoana jasho na wanaume kule CL na kingine hata wakipita hawavuki makundi 🤣🤣🤣
Wanaweza wakashinda kupitia Europa
Na Europa wanaweza kwenda kupitia FA
Options ziko nyingi
 
Sitaki kuamini kama huelewi kiingereza ninacho amini umeamua kujitoa ufahamu na kujaribu kucheza na akili zetu kubwa. Morata, Bakayoko na Pulisic hao ni top quality? Mchezaji kununuliwa kwa bei kubwa haina maana ni top quality. Ndio maana hapo wewe mwenyewe umesema Lukaku na Morata ni sawa na hao wachezaji wanne uliowataja which in fact umeongelea quality na price tag kitu ambacho hakiendi sawa. Sio kila wakati price tag inaashiria quality. Kwa hiyo acha majungu

Sijahitaji ufafanuzi wa Post yangu kutoka kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom