Uliza kilichompata buyern ndo utarudi kuandika spain timu zimeoza. Kaforomondo wewe.Kombe lina kija England tena Spain timu zimeoza
Kweli mendy anakila sababu ya kuukaaa mkeka 1st leg goli la 3 ni lake then anafungwa kila his snaHuyu mmarekan toka ameingia naona anaruka ruka tu hamna kitu, na Mendy anatakiwa kupumzishwa magoli gani haya anafungwa
Najua umeangalia mpira huku umebana miguuWakuu japo mmetoka mmepambana kiume tuweke ushabiki pembeni bahati aikuwa upande wenu tu.
Vp mashambulizi yameishia wapi?Kwa jiinsy mulivotunanga nakwambiya tutaleta mashambulizi ya kufa mtu hahahaha aise mpira ni Raha sana..waambiye wadada wenziyo Raha ya kuwa Fan wa mpira, hasa klabu kama Chelsea hahaha![]()





Wakuu japo mmetoka mmepambana kiume tuweke ushabiki pembeni bahati aikuwa upande wenu tu.
Mabingwa watetezi njoo huku au umehamia MMU nini?Leoo mapemaaaa Niko jamvini apaaa hahahahah woyoooo walete kati hao watoto mchele Michele ..sisi ndio mabingwa watetezi bana hahaha ..embu apo ncheke kwanza![]()




Tatizo letu ni kufungaHii kazi anayofanya Benzema alitakiwa atufanyia Lukaku, sasa anakaa bure tu
Kukumbushana Muhimu leo ni Wednesday lakini Chelsea are out of ChampionsAlhamisi tutakuwa kwenye huu uzi tukitupa Makombora
league lembu Hziyech22 Cash Money Forever OllaChuga Oc 42774277 huwa mna makelele sana wakati timu hamna imejaa umama umama mnaongoza 3 then mnatolewa?bye bye 
Hakupaswa kumtoa Werner Leo alikuwa kwenye form. Pulisic utoto mwingiTatizo letu kubwa ni mbele, hata kama mabeki wana udhaifu lakini RM wana udhaifu zaidi yetu. We are not clinical infron of the Goal
Hakika Chelsea wamepambana kiume sana, hii mechi ya leo ilikua na hadhi ya kuitwa fainali kwa namna Chelsea walivyopambana kufa na kupona ili wasonge mbele.Wakuu japo mmetoka mmepambana kiume tuweke ushabiki pembeni bahati aikuwa upande wenu tu.
Sasa nafikiri utapotea wiki 2 jamviniYani tukipita hapa mutatukoma sisi ma fans Bora kabisa wa Chelsea.![]()


