Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Okay Hongera kwa RM. Tuchel hana wa kumlaumu kwa kumbakiza Kante. Kante amekuwa akifanya makosa mabaya sana leo na alipaswa kupunzishwa mapema.

Kuendelea kuwepo kwake kumeigharimu timu.
Vinginevyo angalau allypipi atalala maana si kwa pressure aliyokuwa nayo.

Mpira furaha. Mpira burudani. Mpira sio dini.
Muwe na usiku wa baraka!
 
Kante leo usiku
20220407_002044.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom