Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kukumbushana Muhimu leo ni Wednesday lakini Chelsea are out of Champions league lembu Hziyech22 Cash Money Forever OllaChuga Oc 42774277 huwa mna makelele sana wakati timu hamna imejaa umama umama mnaongoza 3 then mnatolewa?bye bye
Screenshot_20220413-005850_1649800814055.jpg
 
Chelsea leo tumepambana sana sikutegemea kama tungeweza kupata hizo goli tatu ila nilitamani sana baada zile goli TT angekuwa na mbinu kama za mourinho au Diego simeoni kwa kupaki bus dk 10 zilizobaki nafikiri now ingekuwa ni kicheko tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom