John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Inaenda extra hii Mzee...magoli ya ugenini yameshatolewaau wao watapita
Inaenda extra hii Mzee...magoli ya ugenini yameshatolewaau wao watapita
Magoli ya ugenini siku hizi hakunaau wao watapita
Mkuu nakuona hapo jinsi kamoyo kanavyoenda.Kivipi tunapita mkuu? Saiv hakuna goli la ugenini Mzee..


Hata wao walishinda 3 kwa 1 DarajaniKivipi tunapita mkuu? Saiv hakuna goli la ugenini Mzee..
Yani tukipita hapa mutatukoma sisi ma fans Bora kabisa wa Chelsea. 😀😀😀
Kumbe hupoteagi eeeh??
Ollachuga bwana![]()
Mungu saidia mfungweYani tukipita hapa mutatukoma sisi ma fans Bora kabisa wa Chelsea.![]()





Naona unakomaa na sofascoreLeoo mapemaaaa Niko jamvini apaaa hahahahah woyoooo walete kati hao watoto mchele Michele ..sisi ndio mabingwa watetezi bana hahaha ..embu apo ncheke kwanza![]()



Hahahahha sisi ni wazee wa kucheza na laivu scoo tuu ..mechi Kaa iz zenye puresha tunaekaga pembeni😂😂😂Yaani mwanaume mzima hadi Mimi nakushinda aiseee
Mimi mwenzio ya City niliangalia.. sasa ungekuwa wewe si ungezimia kabisa![]()
Kwa jiinsy mulivotunanga nakwambiya tutaleta mashambulizi ya kufa mtu hahahaha aise mpira ni Raha sana..waambiye wadada wenziyo Raha ya kuwa Fan wa mpira, hasa klabu kama Chelsea hahaha😂😂😂Mungu saidia mfungwe
Utatusumbua sana
Kwa iyo tunaenda extra taimu mkuu??Pulisic kakosa nafasi nzuri imepotea kwenye dakika za lala salama
DaaahPulisic nafasi ya pili ya wazi kakosad