Mama weeee hii sio Madrid nayoijua nakataa haya matokeo
Bado unateseka na matokeo ya Chelsea bingwa wa duniahii timu
Cuortois kaokoa kichwa safi ya Havertz
Invyoelekea tutawafanya kama Sotona hawa
Hahahahahaha mama la mamaaa ..Niko laivu skoo hapa napambania kombe😂😂😂😂
Wamechomoa betri😳😳😳4-4 tena dah
Hahahahahaha mama la mamaaa ..Niko laivu skoo hapa napambania kombe![]()























Hapo matuta au zinaongezwa dk 30ikiisha 4-4 si tunapita
Yaani mwanaume mzima hadi Mimi nakushinda aiseeeWamechomoa betri![]()






