OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Awa washikaji kama siyo wa mwanza basi ni geita au simiyu😂😂😂🤣🤣🤣View attachment 2182106
Mtaani hatupumui leo 😂😂😂😂
Awa washikaji kama siyo wa mwanza basi ni geita au simiyu😂😂😂🤣🤣🤣View attachment 2182106
Mtaani hatupumui leo 😂😂😂😂
Mbona namuona hapo OllachugaAwa washikaji kama siyo wa mwanza basi ni geita au simiyu![]()

Kuna mtu kakuuliza?Nyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477
Kuna mtu kakuomba. Au kujipendekeza kama demu aliyeachwaNyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477
Halloo
Sisi tumempiga kwaoNyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477
Wewe Kenge sisi tumewapiga hao Soton goal 6 nyumnani kwake halafu wakiwa wametimia.Nyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477
Wewe pipi hadi tuje kula kipipi hicho ndio utakuwa na heshimaNyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477

Jina lenyewe allypipi sasa unadhani utakuwa salama kweli wwNyie takataka wenzenu tuli piga goal 9 hao nanyie vigoli 6 mmeviona vingi kweli kweli subirini tu mpapaso wenu toka kwa Madrid.View attachment 2182477
Nashukuru kw kulitambua hilo, combination ya kante na jog haijawahi kuwa sawa tunapataga tabu sana hata kwnye kupata magoli. Kocha nashangaa alionagi hilo. Utashangaa kesho kova ananza nje!Team yetu inamuhitaj Kovacic pale kati hii ni kwa sababu ya uwezo wake, asipokuwepo huwatuna pata tabu sana





Hata useme nini kauli ni moja ya kesho kuwa ASANTENI KWA KUSHIRIKIKuwacheza JOG & KANTE au KANTE & KOVACIC inategemeana na aina ya mpinzani tunayecheza naye. (nguvu, kasi na ubunifu wa viungo wake)
Kante & Kovacic wanatembea na mpira tofauti na Jog anatulia kati kati anatawala dimba.
Kuwapanga KANTE & KOVACIC pale katikati panabaki wazi, ukicheza na mpinzani mwenye viungo wabunifu wanatumia huo uwazi katikati kutumaliza kwa maana mabeki wetu watakuwa kwenye matatizo.
Faida ya KANTE & KOVACIC kucheza pamoja ni kutembea na mpira kila mahali, wanapora mipira, wanakaba, wanapress na kushashubilia kwa kasi.
Na ndio maana hawa jamaa KANTE & KOVACIC wakicheza kwa pamoja itamlazimu mabeki wetu kusogea juu kidogo kukabia juu ili kuziba gap.
Mi naona ni BORA JOG acheze na KANTE ila Kante awe kwenye ubora wake wa kutembea na mpira, JOG afanye kazi ya kucontrol uchezaji wa timu.
Au wacheze wote KOVACIC JOG KANTE, jog abaki nyuma kidogo kuwalinda wake back 3
Hii siyo arsenal tafadhali.Hata useme nini kauli ni moja ya kesho kuwa ASANTENI KWA KUSHIRIKI
Arsenal sio Chelsea ukilijua Hili wala usingeangaika kuandika hiyo comment yakoHata useme nini kauli ni moja ya kesho kuwa ASANTENI KWA KUSHIRIKI
Alhamisi tutakuwa kwenye huu uzi tukitupa MakomboraHii siyo arsenal tafadhali.
Wewe subiri tukukojolee tarehe 20.
Umeanza kuwashwa mapema?