Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Kwa jiinsy mulivotunanga nakwambiya tutaleta mashambulizi ya kufa mtu hahahaha aise mpira ni Raha sana..waambiye wadada wenziyo Raha ya kuwa Fan wa mpira, hasa klabu kama Chelsea hahaha![]()






Kwa jiinsy mulivotunanga nakwambiya tutaleta mashambulizi ya kufa mtu hahahaha aise mpira ni Raha sana..waambiye wadada wenziyo Raha ya kuwa Fan wa mpira, hasa klabu kama Chelsea hahaha![]()






Yaaani wewe hufai kuwa shabikiHahahahha sisi ni wazee wa kucheza na laivu scoo tuu ..mechi Kaa iz zenye puresha tunaekaga pembeni![]()




Huyu Pulisic ana matatizo huyu kabet, towa ingiza Ziyech amaloze game tuibuke kidedeaPulisic nafasi ya pili ya wazi kakosa
Wadada hawajui tu raha ya kushabikia mpiraKwa jiinsy mulivotunanga nakwambiya tutaleta mashambulizi ya kufa mtu hahahaha aise mpira ni Raha sana..waambiye wadada wenziyo Raha ya kuwa Fan wa mpira, hasa klabu kama Chelsea hahaha![]()

1st goal - Timo Werner
2nd goal - Mount
Full time 90mins - Aggregates 3 - 3
Extra time:- Kai Harvetz goal.
Full time - Madrid 3 - 4 Chelsea.




Pulisic anakosa Sana magoliPulisic nafasi ya pili ya wazi kakosa
Huu ndio mpira miguu mkuu.Wakuu tutashinda hii game kweli?? Hapa puresha inapanda inashuka...![]()
Ngoja tuone ngamia apite kwenye hilo tundu dogo DunianiChelsea kumtoa Madrid ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Wakafanye nini sasa mbona Real Madrid wamekamatwa vilivyoNadhani extra time aingie Joghnho na Christensen.
Munich chali mpira hauna adabuNgoja tuone ngamia apite kwenye hilo tundu dogo Duniani
Hata msipo pita ki ukweli kabisa mmepambana kiume.Yani tukipita hapa mutatukoma sisi ma fans Bora kabisa wa Chelsea.![]()
Mabeki wameanza kuzingua