Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani tukipita hapa mutatukoma sisi ma fans Bora kabisa wa Chelsea.
Hata msipo pita ki ukweli kabisa mmepambana kiume.
Hapo ni mjitahidi huu mchezo muumalize mapema maana kwenye penalt hua hamna bahati.
Chelsea leo hakika mmeupiga mwingi sana kama vile mlivyoupiga siku ile kwenye fainali ya Carabao vs Liverpool ila tatizo lenu ni bahati inapofikia hatua ya penalty.
 
Inavyoelekea tumelala, tukiwategemea akina Rudiger nyuma na Pulisic mbele kazi ipo tena kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom