Mchovu huyo, si unaona jana Conte alichowafanyaHapa umemsahau Lececiter Mwenye viporoo vitatu.akishinda anapanda juu
Huu ukuni aliokupachika ZIYECH unausikilizia ukiwa wapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Werner adai HAJUI ni kwa sababu ipi mashabiki wanampenda
Huyu si dembele? au macho yangu yanaona vibayaAkija Huyu pulisic inabidi atafute timu haiwezekane tuwe na wachezaji wengi wanaoshinda hospital kila sikuView attachment 2089453
Sasa dembele si ndo pancha mbaya mbovu??Akija Huyu pulisic inabidi atafute timu haiwezekane tuwe na wachezaji wengi wanaoshinda hospital kila sikuView attachment 2089453
Get rid of Pulisic, God forbid asije kabisa, bora mkokoteni unaotembea kuliko benzi iliyo juu ya maweAkija Huyu pulisic inabidi atafute timu haiwezekane tuwe na wachezaji wengi wanaoshinda hospital kila sikuView attachment 2089453
Yeye mwenyewe Hana furaha na kikosi chake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Thomas Tuchel has been boosted by the news Trevoh Chalobah and Reece James are back out on the grass as they continue their recovery from injury, but the boss won’t have any fresh faces available to him for Sunday’s game against Tottenham.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Timu imajaa mamluki kibao ...hadi kocha hayaaamini machezaji Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizo ni ligi mbili tofauti, ukimrudisha uingereza hawezi kufikisha nusu yake.