Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie takataka njooni hebu mjione timu la dunia linavyo sakata kabumbu safi leo sio mataka taka yenu hapo darajani.
 
Ninyi vibonde wa masuaku tuko nyuma yenu tunawapumlia kisogoni takataka wa blue niny
 
Christansene anataka paundi laki 2 kwa wiki
Rudiger naye anataka paundi laki 2 kwa wiki
??
 
Ousmane Dembele hajawahi kufukisha double figure kwenye magoli,
Aliwahi kufunga magoli 11 na assists 14 kwa mashindano yote akiwa chini ya TT kule BVB mwaka 2017
Baada ya hapo, kageuka kuwa muigizaji tu
Akija huyu hatakuwa na tofauti yeyote na Pulisic
Injury prone
Siop kiungo mfungaji wala mtoa assists
Bodi au scout team hawaangaliaji hizo stats, au wanaingia kichwa kichwa tu
 
Nyie takataka naombe mshinde leo ili hao wajinga wenzenu wasinitoe pale juu na wategemea makima nyie sasa mcheze matakataka yenu.
 
Prediction zinaonyesha kuwa Spurs ya Conte itamaliza juu ya Liverpool, Man United kumaliza top 4 juu ya Chelsea
God Forbid this to Happen
Utabiri huu umebase performance za timu kuanzia 1 Dec 2021 kupitia points zilizoweza kuzikusanya, na asumption kuwa performance hiyo hiyo itaendenelea kwa miezi iliyobaki hadi ligi iishe

1642933757544.png
 
Line Up ya Leo saa 1:30 Stanford Bridge

------------------------------------Lukaku---------------------------------------

Werner ------------------------------------------------------------------Havertz

Alonso ------------------Jorginho -------------- Kante ---------------- Odoi

Rudiger --------------------------Silva -----------------------Azpilicueta

--------------------------------------Kepa---------------------------------------
 
Wachezaji wapya 7 wanaweza kucheza ligi leo

Defenders:
Lewis Hall

Midfielders: Harvey Vale, Xavier Simons, Charlie Webster, Lewis Baker, Kenedy

Forwards: Jude Soonsup-Bell
 
Tottenham ndio timu pekee Chelsea imekuwa ikivuna points nyingi kuliko timu zingine za EPL
 
Liverpool nao leo wamepewa penalti ya bure, sasa VAR haina tena faida
 
Line Up ya Leo saa 1:30 Stanford Bridge CONFIRMED
Formation 4-2-2-2


Lukaku---------------------------------------------------Odoi

Mount --------------------------------------------------Ziyech

Jorginho ---------------------------------------------Kovacic

Sarr-----------Rudiger ---------------------Silva --------------------Azpilicueta

--------------------------------------Kepa---------------------------------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom