Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ngoja nivute kiti kwanza kati ya cheltako na totonama.
20220105_193554.jpg
 
Aliyewaambia mtachukua kombe kwa kumfunga spurs anawapoteza, badala ya kumpiga city mnahangaika na midtable teams
Wewe ulitaka tumpige city halafu Spurs tumuache eti kwa sababu ni midtable team? Mujiandae nyie livakuku kutoka kwenye naffasi za watu😂😂😀
 
1. Man City - 57 points
Mechi sita zijazo
  1. February 9 - Brentford (H)
  2. February 12 - Norwich (A)
  3. February 19 - Tottenham (H)
  4. February 26 - Everton (A)
  5. March 5 - Man Utd (H)
  6. March 12 - Crystal Palace (A)
 
Liverpool - 48 points (with a game in hand on Man City and Chelsea)

Mechi sita zijazo

  1. February 10 - Leicester (H)
  2. February 13 - Burnley (A)
  3. February 16 - Norwich (H)
  4. March 5 - West Ham (H)
  5. March 12 - Brighton (A)
  6. March 19 - Man Utd (H)
 
Chelsea - 47 points

Mechi sita zijazo
  1. February 19 - Crystal Palace (A)
  2. March 5 - Burnley (A)
  3. March 12 - Newcastle (H)
  4. March 19 - Norwich (A)
  5. April 2 - Brentford (H)
  6. April 9 - Southampton (A)
 
Msimu huu, Chelsea vs Spurs, 8-0
19 Sep 2021 3-0
5 Jan 2022 2-0
12 Jan 2022 1-0
23 Jan 2022 2-0
 
Hawa wachezaji ukiwaona wanaanza kucheza vizuri na Injury inawabishia hodi mlangoni
  1. Hakim Ziyech
  2. Ngolo Kante
  3. Christian Pulisic
Hakim Ziyech yule wa ajax tunaanza kumuona, jana krosi alizozipiga kama pale mbele wangekuwa makini zaidi tungeondoka jana na goli 4 au 5
Inabidi sasa tumuombee asipate majeruhi

Odoi japo sio mzuri kwenye kufunga ila dribling zake zimeshaanza kuwa na manufaa kwa timu, akiendelea na consistency pale mbele itakuwa poa
 
Tuchel on 4-1-4-1 formation

Four at the back and you had a lot of players in their half throughout the game, is this the way forward?

"It's one way forward. We tried a 4-1-4-1 formation today because we tried a 4-4-2 against them in the first match and that gave us an advantage but then they reacted to it in the second match.


"We thought maybe it could be an approach to give the players a solution after the last matches and we had the players for the formation, players in shape, players who wanted and should be on the pitch, and good positions for them.

"It gives us more options than only playing a 3-4-3 and we don't decide now, but it was well done."
 
Haya maneno ni ya mfa maji, hakuna aliyesema hivyo, Spurs walimfunga City, Crystal Palace walimfunga City hapo vipi, wamechukua makombe? Au nabishana na mlevi mmoja nini?
Nife maji kwa kipi hasa ikiwa umenizidi game mbili ila mie nakuzidi point?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom