42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Punguza wivu wa kike mzee.Tuliwambia Chelsea uefa alibahatisha TU,kama mnakumbuka hata top 4 ilikuwa bahati TU maana kama Lececiter city angeshinda game dhidi ya Leeds, Chelsea inge maliza Ligi ikiwa nafasi ya 5.
Mngeshiriki uefa Kwa kuchukua Uefa hiyo ya bahati bahati,na siyo Kwa nafasi kwenye msimamo wa Ligi kama Lececiter city angeshinda msimu uliopita mechii ya mwisho.
Mlikuwa na bahati saana msimu ulio pita.Lakini uwezo wenu ni mdogoo.
Mnachojua ni kudefense TU.
Kuna stage uliona tumepita kwa penalty?
Madrid aliyekuchomoa wewe sisi tulimgonga goal 3 kwa moja, We ulikuwa hujazaliwa?

mkuu uko sahihi kabisa unakumbuka yote vizuri.
hapo huwezi kumuona.