Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mtanisamehe jamani nimemfata welbeck huku sio mnajua limetoka kwenye chama letu lile.
Screenshot_20220118-220631.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220118-220631.jpg
    Screenshot_20220118-220631.jpg
    32.7 KB · Views: 21
Yenu leo kuna matokeo ya aina 2 tu Brighton ashinde au chelsea afungwe basi.
 
Hadi Rudiger analalamika, wacheza wako static, they dont move.

Katikati leo wako passive, Kante yuko kwenye poor form leo

Goli tumepata kwa bahati tu, brighton ndio walitakiwa kuongoza hadi sasa
 
Kumbuka liverpool waliomba game zao kuwa postponed na wakakubaliwa but chelsea kuna game tuliomba ihairishwe tukakatalia
Kumbuka game ya wolves tulicheza huku sub tukiwa na wacheza wanne kama sijakosea huku kati yao wakiwa makipa wawili,
Bado big picture ndio hiyo, injuries au Covid-19 haijaadhiri wala haiadhiri Chelsea tu, ni janga la wote. Tuache kusingizia
 
Mguu wa kushoto wa Ziyech ni mguu wa dhahabu, anashindwa kuutumia vizuri tu angekuwa na mabao mengi kwa msimu
 
Wachezaji wa ushambuliaji ni kama wanamgomea Lukaku na wameamua kumtenga kabisa waziwazi. Hata Lukaku anapokuwa kwenye position nzuri wanaacha kumpa pasi. Mfano Alonso alikuwa kwenye position nzuri ya kumpa Lukaku mpira akaacha na kumpa Odoi ambaye baadaye aliupoteza huo mpira.

Hizi big signing sio tu zinaiharibu Manure hata Chelsea. Siku Lukaku asipocheza, mbele wanajitahidi kicheza vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom