Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yah na Ziyech pia na MOTM imeenda kwa Ziyech jamaa Jana alijitoa Sana katengeneza nafasi 3 za wazi lakini pia alikuwa anasaidia kukaba pale team inapokuwa haina mpira, sijawahi kumuona Ziyech anakaba kama jana
Au ndo mfumo anaofit zaidi? Maana Jana Tuchel alikuja na 4-2-2-2
 
Next game tarehe 15 wana Man City halafu anakuja Tottenham.
Hapo kuna sare moja na kipigo kimoja.
Hawa Europa inawahusu kabisa msimu ujao.
Cheki hii takataka..walete hao man Shityee tuwanywe damu
 
Yah na Ziyech pia na MOTM imeenda kwa Ziyech jamaa Jana alijitoa Sana katengeneza nafasi 3 za wazi lakini pia alikuwa anasaidia kukaba pale team inapokuwa haina mpira, sijawahi kumuona Ziyech anakaba kama jana
Jana Tuchel alimpanga Ziyech kama Wing-back ila hakuweza imediately formation ikabadilishwa kwenda back 4 ya 4-2-2-2. Cha kushangaza jana hata Sar alicheza vizuri, ila Spurs jana walikuwa kama vile ni wachovu, Conte kapanga timu ile ile, aliyebadilishwa ni Tanganga tu. Kwa hiyo uchovu wa ligi jana ulikuwa dhahiri

1641460654767.png
 
Mara ya kwanza akaja vinega mkapaki basi 😅😅 mkasachiwa hadi mkaachia point 3
Umecheki fixture yetu? Izo game zote tunashinda tena ushindi mnono ..nyie arse8 endeleeni kujenga timu kwanza.
 
Yule kocha anaejiita mwL wa TT anatakiwa ajifunze kwa mwanafunzi wake namna ya kutumia mfumo wa 4222 umeona Jana ulivyotumika
Shida sio instructions ni execution, are they willing to do the stuff?
Rangnick anaongea kuhusu 'body language' his players are not ready to do the stuff
 
Shida sio instructions ni execution, are they willing to do the stuff?
Rangnick anaongea kuhusu 'body language' his players are not ready to do the stuff
Mbona carrick wachezaji waliokuwa wanamtii kwanini si yeye huoni hapo there something is wrong?
 
Acha kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Safu yetu ya ushambualiaji ni mbovu inabahatisha kufunga magoli.

Tunahitaji kufanya sajili kuondoa utoto pale mbele.
Hujaelewa hata nilichokiandika, sijui Kama unafahamu hata timu yenu inapokwenda na ilipotoka...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom