Ibrahimovic ni lijingajinga
Aliwahi sema Chelsea inanunua mafanikio kwa pesa still likaenda psg kufata pesa na likaenda marekani kwenye soka bovu kufata pesa
Sasa kama unakubaliana na maneno ya Ibrahimovic basi jichunguze mwenyewe kama.uko sawa
Lukaku alikuja chelsea coz inter wana matatizo ya uchumi waliuza wachezaji tegemeo wengi tu na hii ilimfanya conte aachane nao coz hakutaka hilo litokee
Chelsea plan zake zilikuwa kwa Halaand wala sio lukaku.halaand alikuwa ana thamani ya zaidi ga 150m negotiation hazikwenda vizuri na zaidi halaand mwenyewe haipendi ligi ya uingereza(kiazi ndezi)
Ndio tukaangukia hapo kwa hiko kiroba
Kisa kanunulia kwa pesa ndefu akaana kujiona mkubwa kuliko timu analeta kiburi na kuongea shits inashusha morale ya timu .
Tulikuwa kuwa na Torres alinunuliwa kwa rekodi ya mauzo kipindi kile lakini hakuwa mpiga domo
Torres wa Liverpool sio wa Chelsea maana Liverpool alikiwa mashine hasa
Ila hadi leo torres anaipenda Chelsea kweli kweli over Liverpool coz alkuwa na good moments ndani ya Chelsea japo kuwa hakufunga mara kwa mara na amshinda makombe ndani ya chelsea
Mcheki fabregas yule wa asernal dogo mmoja anapiga soka matata sana kuanzia iliyokuwa highbuy hadi emirates
Lakini fabregas anaipenda Chelsea kuliko hio aser8 iliyomtoa la masia hispania(mfatilie insta utaelewa

) unajua kwanini!? .Chelsea imempa makombe imemuheshimisha kama mchezaji .
Nenda kamcheki girioud uone. Alipokuwa asernal alikuwa anagonga magoli daliy ila makombe ziiiiiii!!!
Alipokuja Chelsea kashinda makombe .Giroud ana kumbukumbu nzuri za maisha ndani ya Chelsea haishi kuizunguzmia chelsea na ana washikaji kibao Chelsea .
Sasa lukaku hajifunzi analeta ujuaji wakati hana alama yoyote ndani ya klabu
Asepe zake