Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kante na Thiago Silver wako suspected na covid....


Aiseee mbona match ya City itakuwa ngumu sana kama hawatopona mapema?
 
Kante na Thiago Silver wako suspected na covid....


Aiseee mbona match ya City itakuwa ngumu sana kama hawatopona mapema?
Acha kulialia kazeni
20220105_193554.jpg
 
Spurs wameweka full mkoko ila sisi tunazingua unajua kabisa kupata kombe la ligi kuu ni ngumu makombe kama carabao ndio zakusomba unampanga mtu kama saul , sarr unamuweka benchi Kovacic seriously?
 
The loss of Kante & Thiago to covid is massive.

Anyway, mama mtumishi ataniangalizia huku akinicheka 🤣🤣

I am extremely tired & sleepy
 
Kante na Thiago Silver wako suspected na covid....


Aiseee mbona match ya City itakuwa ngumu sana kama hawatopona mapema?
Hivi mnadhani mtawafunga man city?
Lazima wawatandike tu halafu sisi tunapanda pale juu.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Spurs wameweka full mkoko ila sisi tunazingua unajua kabisa kupata kombe la ligi kuu ni ngumu makombe kama carabao ndio zakusomba unampanga mtu kama saul , sarr unamuweka benchi Kovacic seriously?
Saul Mbona kakichafua Mzee...Afu buda timu yetu sahv imekumbwa n majeraha( chalobah, Christensen), covid cases( Silva, kante)... sasa TT atafanyaje Mzee?....na naona Leo ameswitch kwenye back 4 n tumecheza fresh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom