Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lile goli la Pulisic dhidi ya Liverpool jamani ilikuwa na vioja vya ajabu.

Mtangazi ilipofungwa tu goli alisema kwa sauti kubwa "Happy New Year"
Goli la Kovacic sijasikia kasema nini ila hilo la Pulisic na kwa jinsi pasi ilivyoanza kwa Rudiger ikaenda kwa Kante halafu Pulisic nakamalizia kwa hasira kali ndipo ikasikika sauti kubwa na ya mhemuko ikisema HAPPY NEW YEAR
 
Sergiño Gianni Dest!!

Barcelona set €20 million asking price for Chelsea target, Blues pushing for move​

 
Lile goli la Pulisic dhidi ya Liverpool jamani ilikuwa na vioja vya ajabu.

Mtangazi ilipofungwa tu goli alisema kwa sauti kubwa "Happy New Year"
Goli la Kovacic sijasikia kasema nini ila hilo la Pulisic na kwa jinsi pasi ilivyoanza kwa Rudiger ikaenda kwa Kante halafu Pulisic nakamalizia kwa hasira kali ndipo ikasikika sauti kubwa na ya mhemuko ikisema HAPPY NEW YEAR
Mkuu Kwan kuna shida gani hata asiposema
 
Sasa subiri tuirudie nafasi ya 2..nunua pamba kabisa za kuziba masikio
Mt. Anna karibu hii ndiyo Club yetu pendwa ya Chelsea.
Club inayoongoza kuwa na Heters wengi duniani
Club Pekeee yenye mafanikio makubwa Uingereza
Club yenye Ngolo Kante moja tu Duniani.
Club yenye Kovich moja tu dunia nzima.

Club yenye Midfilder Bora duniani kote.
Karibu sana. Mpira ni burudani. Mpira si uadui
 
Mt. Anna karibu hii ndiyo Club yetu pendwa ya Chelsea.
Club inayoongoza kuwa na Heters wengi duniani
Club Pekeee yenye mafanikio makubwa Uingereza
Club yenye Ngolo Kante moja tu Duniani.
Club yenye Kovich moja tu dunia nzima.

Club yenye Midfilder Bora duniani kote.
Karibu sana. Mpira ni burudani. Mpira si uadui
Hahaha mpira ni burudani na si uadui,hata huyo ninayetaniana naye niliyemquote ni bestfriend wangu mkubwa...manjonjo kama haya kuongeza ladha kwenye ushabiki wa mpira.


Mimi nashabikia timu la kibabe LFC .
 
Tetesi: Lucas Digne to Chelsea
LB wa muda kuziba nafasi aliyoacha Chilwell
1641568217164.png
 
Yeah Nafuraha kuwa mchezaji wa chelsea lakini ndoto yangu nikuwa paiInter-Lukaku
 
Hahaha mpira ni burudani na si uadui,hata huyo ninayetaniana naye niliyemquote ni bestfriend wangu mkubwa...manjonjo kama haya kuongeza ladha kwenye ushabiki wa mpira.


Mimi nashabikia timu la kibabe LFC .
Nakufahamu vema. Mpira ni tambo kabla ya mechi na baada ya mechi. Anayeleta matusi kwenye mpira huyo si shabiki bali ni shabiki mabua.

Wacha turn tuenjoy
 
Tumepewa formation ya 4-2-2-2
Lakini uwanjani wanacheza 3-4-1-2
Ziyech right wing-back na Odoi ni Left Wing-back
 
Mt. Anna karibu hii ndiyo Club yetu pendwa ya Chelsea.
Club inayoongoza kuwa na Heters wengi duniani
Club Pekeee yenye mafanikio makubwa Uingereza
Club yenye Ngolo Kante moja tu Duniani.
Club yenye Kovich moja tu dunia nzima.

Club yenye Midfilder Bora duniani kote.
Karibu sana. Mpira ni burudani. Mpira si uadui
Nilitaka kujibu lakin kwakua hainihusu ngoja nicheke tuu,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom