lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,486
Kumbe na wewe unazururaga eh, karibu darajaniBahati yenu mnaongoza kwa bao 2 hadi sasa kama mchezo usipobadilika.
Wakirudisha hawa jamaa basi kesho jiandae na nyimbo za mama mtumishi.
Kumbe na wewe unazururaga eh, karibu darajaniBahati yenu mnaongoza kwa bao 2 hadi sasa kama mchezo usipobadilika.
Wakirudisha hawa jamaa basi kesho jiandae na nyimbo za mama mtumishi.
Utaninyoosha, daaah.... nights mtoto mzuri. Blessings to youSasa subiri tuirudie nafasi ya 2..nunua pamba kabisa za kuziba masikio
Hawa Tottenham wanyonge.Utaninyoosha, daaah.... nights mtoto mzuri. Blessings to you
Nipo mkuu.Kumbe na wewe unazururaga eh, karibu darajani
Kipara ngoto hana hamu na TukelHawa Tottenham wanyonge.
Subiri mkacheze na kipara muone kama nyie ni wababe.
Mpelekeni huyo Tukel wenu muone.Kipara ngoto hana hamu na Tukel
Dah!Spurs hadi HT
Shot = 0
On target = 0
Tukel kafungwa goli 1 Tu na kipara na kipara Hana hamu naye kabisa....lkn klop ana game 2 ashachezea chuma 4Hawa Tottenham wanyonge.
Subiri mkacheze na kipara muone kama nyie ni wababe.

Unabadirisha gia angani ?Hawa Tottenham wanyonge.
Subiri mkacheze na kipara muone kama nyie ni wababe.
Punguza ramliHivi mnadhani mtawafunga man city?
Lazima wawatandike tu halafu sisi tunapanda pale juu.
Yah na Ziyech pia na MOTM imeenda kwa Ziyech jamaa Jana alijitoa Sana katengeneza nafasi 3 za wazi lakini pia alikuwa anasaidia kukaba pale team inapokuwa haina mpira, sijawahi kumuona Ziyech anakaba kama janaDah jana sijaangalia match... Nasikia Saul kakiwasha...
Ni kweli mazee?
Aiseeee I hate kwann sikuangalia...Yah na Ziyech pia na MOTM imeenda kwa Ziyech jamaa Jana alijitoa Sana katengeneza nafasi 3 za wazi lakini pia alikuwa anasaidia kukaba pale team inapokuwa haina mpira, sijawahi kumuona Ziyech anakaba kama jana
Game nzima tulicontrol sisi tuliwawin maeneo yote kane, son na lucas moura wote waliwekwa kwenye Pocket bila kusahau second ball karibia zote tuliwin sisi tuliwafanya spurs iyonekane kama team ya ligi ya tatu au nne huko bahati mbaya kwetu hatukuwa makatili mbele ya goal finish yetu ingekuwa nzuri tungemaliza mechi tukiwa tumeshinda 5 kwa nungeAiseeee I hate kwann sikuangalia...
Nimeangalia Highlight ya kama Dakika 20...Game nzima tulicontrol sisi tuliwawin maeneo yote kane, son na lucas moura wote waliwekwa kwenye Pocket bila kusahau second ball karibia zote tuliwin sisi tuliwafanya spurs iyonekane kama team ya ligi ya tatu au nne huko bahati mbaya kwetu hatukuwa makatili mbele ya goal finish yetu ingekuwa nzuri tungemaliza mechi tukiwa tumeshinda 5 kwa nunge
Pira la jana bro,waitwe bayarn waungane na cityNimeangalia Highlight ya kama Dakika 20...
Aiseee kweli tulikuwa moto... .