Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Ha ha swa mkuuuHiyo ndio yenyewe![]()
Ha ha swa mkuuuHiyo ndio yenyewe![]()
Sasa na nyie sio muende kucheza cheza wakati mnakutana na city mnatakiwa mumpige.Ha ha swa mkuuu
taito kontenda mnashindwa kumfunga livakuku ambae anachechemeaHa ha jana wanaume wamekumekumwagia maji ssa unatikisa taaarabu
Binafsi nimeitoa kwenye mbio za ubingwa unless shit wakutana na shit kweli kimaviChelsea yangu mimi nilishaiondoa kwenye ubingwa. Nilishasema Chelsea ikidrop point mechi tatu december ubingwa tena basi.
Alidrop kwa Westaham, ikaja kwa Everton, ikaja kwa Wolves mwisho kwa Brighton. December tu kadrop point 9 kwa mechi 4 halafu unategemea aje kushindana na City aliyeshinda mechi 11 mfululizo na bado anaendelea kushinda.
Chelsea kwa sasa waungane tu bila kuona aibu na Spurs, Arsenal na Liverpool kwenye top 4
Kova analeta impact sana kwenye timuHii timu sio yangu lakini nafurahishwa sana na uchezaji wa Kamanda Kovacic.. achana na goli!
Huwezi ku maintain consistency 100% labda uwe malaika, tena wale watiifu!Halafu kuna kipindi Chelsea fans wanakuambia mendy hafai bora kepa nahis wanakuwa wanatania tu na sikweli
Nani haiogopi chelsea?Dah ebhana weee em nipeni matokeo apo nilikuwa chimbo nimebana mbupu


Tunawachemsha supu tunawanywa.Hyo game naomba hiyo deal ya digne or whoever might be ikamilikeGame ijayo tar 15 man cty then spurs du mbona kma ratiba haiko fair kabsa
Karudie kuliangalia hilo goli. Salah aliwadanganya wakapotea maboya. Chalobah kile kichwa sijui alitaka kuvumbua nini. Ila kwenye kufunga hata angekuwa Buffon angeweza kufungwa tu. Salah ni hatari yule raia!Mendy kuna wakati anaboa, hata goli la Salah hakuweka juhudi yeye na Alonso na Chalobah.
Next game tarehe 15 wana Man City halafu anakuja Tottenham.Chelsare FC
Sawa Nabii TitoNext game tarehe 15 wana Man City halafu anakuja Tottenham.
Hapo kuna sare moja na kipigo kimoja.
Hawa Europa inawahusu kabisa msimu ujao.
Sawa mtabiri,haya funga mikoba yako ili usubiri tu utabiri wako utimie.Next game tarehe 15 wana Man City halafu anakuja Tottenham.
Hapo kuna sare moja na kipigo kimoja.
Hawa Europa inawahusu kabisa msimu ujao.
Pole sana. Man City amfunge Chelsea? Chelsea ni moto wa kuotea mbali ni club Bingham na bora Duniani mkuu. Chelsea siuo Arsenal.Next game tarehe 15 wana Man City halafu anakuja Tottenham.
Hapo kuna sare moja na kipigo kimoja.
Hawa Europa inawahusu kabisa msimu ujao.