42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Timu gani ambayo haistruggle.Hakuna sehemu nilikootodhesha timu. Umetaja timu kwa kutumia hisia zako na umeitaja psg kwavile unahisi kuna majina makubwa basi watatajwa kama timu bora. Nimesema Juventus kwasasa wana struggle hawako kwenye form kwasasa.
Tutajie timu zinazostruggle na timu ambazo hazistruggle halafu utuambie Chelsea unaiweka kundi gani hapo.







