Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wajameni hebu sasa niwape kichekesho.... Teh teh teh.... Huenda Pochetinho yuko sahihi kwamba Chelsea inacheza kwa kujilinda sn ha ha ha hebu tuangalia hii picha hapa chini..... Eti Mandy msimuu mpk sasa kafungwa goli tatu tu akiwa darajani..... Wakati huo kipa wa Juve katia maguu darajani kalambishwa goli 4 ndani ya dk 90 haha haha Pochetinho atengue kauli yake kwakweli
IMG_20211124_021135.jpg
 
Jamani niliwahi kusema hapa kwamba hauhutaji kutoa maelezo mengi sn kuelezea ni namna gani umefanikiwa ktk maisha yako au elimu yako au biashara y'all.....

Huitaji kusema ooooh Mimi nilisoma na Obama Harvard University wakati Obama ni rais wa serikali chuo...

Huitaji kusema ooooh Mimi nilimkopesha Bill Gets mtaji na Mimi ni tajiri....


Huitaji kusema ooooh Mimi nilikuwa naogelea kwenye pool moja na Tony Blair huko mitaa London....

Yaani huitaji kutoa maelezo meeeengi kweli ya kujieleza kuhusu mafanikio yako....


Kile unachoweza kufanya unatakiwa kuacha vitu vijieleze vyenyewe na ndicho anachofanya Tomasi Tuko sasaivi.


Yaani anaacha goma linajieleza lenyewe.....

Alafu nikuchekeshe kidogo

Wakati Tomasi Tuko anaichukua Chelsea last season alisema anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao.....

Sasa hayo maneno yameanza kutimia.... Hakuna Timu kabisa inapenda kukutana na Chelsea kwa sasa!


Alafu nikuongezee kicheko kidogo kingine yaani hii ni kutokana na vitu vinavojieleza venyewe.... Rio Ferdinand anasema hivi yaani Chelsea ni timu inayoweza kukufunga kila upande yaani kila mchezaji anakufunga tu.....


Timu inatisha sn yaani tena unakuta Pounds milioni 150 iko nje yaani Lukaku na timu inafunga tu magoli kibao.... Timu inatisha sn yaani inatisha mno.... Sasa ilivokuwa inacheza na Leicester City yaani Leicester City walionekana km watoto wanapambana na dubwana kuuuba kweli....


Sasa ndio nakumbuka na maneno Mauricio Pochetinho eti eeeeti Chelsea ni timu inayo jilinda sn ndio maana haifungwi magoli sn.... Jamani jamani hivi huyu Mauricio hamnazo? Chelsea inapaki bus wakati muda wote Banuchi wa juve alikuwa analambishwa nyasi?

Huyu nataka tukutane nae kwenye second legs ya KO ili atujue sisi kuwa ni mabingwa wa Ulaya....

Mwisho tumkaribishe Michael Carrick next Sunday.....
Broi unajua kuandika
 
Broi unajua kuandika
Ha ha ha ha ha wakati mwingine tunakua tunapiga story km hivi huku tunagonga cheers na tu glasses twa cocotails....... Ha ha ha ha km sio Cocktails..

Timu inafanya vzr sn mpk inatisha sasa ufanye nini? Mnapiga story tu za udambwi dambwi km hivi.....


Alfu mtoto wng wa miaka 8 anampenda sn Pulisic.....


Jana baada ya game ya jana name juve kaniuliuliza meshindwa kujib mpk muda huu....


Anauliza eti ni bora kuwapanga Odoi, Pulsic na Ziyench au Warner na Lukaku na Meson Mount?

Wakati anajiuliza Kai Haverts apangwe wapi jamani au awe anatokea sub tu?


Maana kwa sasambu ambalo Banuchi na wenzake wa juve wapelekewa jana mtoto wangu anachanganyikiwa kabisa hajui apange timu gani hasa huko mbele.

Ananiambia eti jumapii Tomasi Tuko akipanga kikosi km cha jana kwa Man Utd basi Harry Makwaiya yaani Magure atapigwa kadi afungiwe asicheze msimu mzima wote.....


Ha ha ha ha ha....


Jamanai msaidieni mtoto wng kupanga timu
 
Moto wa mabua tu huu soon unaenda kuzima


Mnafunga vibibi vya Turin mnaanza kuvimba????
 
Jamani niliwahi kusema hapa kwamba hauhutaji kutoa maelezo mengi sn kuelezea ni namna gani umefanikiwa ktk maisha yako au elimu yako au biashara y'all.....

Huitaji kusema ooooh Mimi nilisoma na Obama Harvard University wakati Obama ni rais wa serikali chuo...

Huitaji kusema ooooh Mimi nilimkopesha Bill Gets mtaji na Mimi ni tajiri....


Huitaji kusema ooooh Mimi nilikuwa naogelea kwenye pool moja na Tony Blair huko mitaa London....

Yaani huitaji kutoa maelezo meeeengi kweli ya kujieleza kuhusu mafanikio yako....


Kile unachoweza kufanya unatakiwa kuacha vitu vijieleze vyenyewe na ndicho anachofanya Tomasi Tuko sasaivi.


Yaani anaacha goma linajieleza lenyewe.....

Alafu nikuchekeshe kidogo

Wakati Tomasi Tuko anaichukua Chelsea last season alisema anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao.....

Sasa hayo maneno yameanza kutimia.... Hakuna Timu kabisa inapenda kukutana na Chelsea kwa sasa!


Alafu nikuongezee kicheko kidogo kingine yaani hii ni kutokana na vitu vinavojieleza venyewe.... Rio Ferdinand anasema hivi yaani Chelsea ni timu inayoweza kukufunga kila upande yaani kila mchezaji anakufunga tu.....


Timu inatisha sn yaani tena unakuta Pounds milioni 150 iko nje yaani Lukaku na timu inafunga tu magoli kibao.... Timu inatisha sn yaani inatisha mno.... Sasa ilivokuwa inacheza na Leicester City yaani Leicester City walionekana km watoto wanapambana na dubwana kuuuba kweli....


Sasa ndio nakumbuka na maneno Mauricio Pochetinho eti eeeeti Chelsea ni timu inayo jilinda sn ndio maana haifungwi magoli sn.... Jamani jamani hivi huyu Mauricio hamnazo? Chelsea inapaki bus wakati muda wote Banuchi wa juve alikuwa analambishwa nyasi?

Huyu nataka tukutane nae kwenye second legs ya KO ili atujue sisi kuwa ni mabingwa wa Ulaya....

Mwisho tumkaribishe Michael Carrick next Sunday.....
Mkuu jana nimepitiwa na using usingizi baada ya miangaiko ya huku na kule nikashindwa kabisa kuangalia mpira.

Nimecheka mwanzo mwisho wa narration yako hii aiseee.
 
Sasa ivi hatuna Muda wa Kujielezea sana. Kila kitu kiko wazi kwa watu wote. Maneno ya TT yanazidi Kuishi
tapatalk_1620311331002.jpg
 
Jamani niliwahi kusema hapa kwamba hauhutaji kutoa maelezo mengi sn kuelezea ni namna gani umefanikiwa ktk maisha yako au elimu yako au biashara y'all.....

Huitaji kusema ooooh Mimi nilisoma na Obama Harvard University wakati Obama ni rais wa serikali chuo...

Huitaji kusema ooooh Mimi nilimkopesha Bill Gets mtaji na Mimi ni tajiri....


Huitaji kusema ooooh Mimi nilikuwa naogelea kwenye pool moja na Tony Blair huko mitaa London....

Yaani huitaji kutoa maelezo meeeengi kweli ya kujieleza kuhusu mafanikio yako....


Kile unachoweza kufanya unatakiwa kuacha vitu vijieleze vyenyewe na ndicho anachofanya Tomasi Tuko sasaivi.


Yaani anaacha goma linajieleza lenyewe.....

Alafu nikuchekeshe kidogo

Wakati Tomasi Tuko anaichukua Chelsea last season alisema anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao.....

Sasa hayo maneno yameanza kutimia.... Hakuna Timu kabisa inapenda kukutana na Chelsea kwa sasa!


Alafu nikuongezee kicheko kidogo kingine yaani hii ni kutokana na vitu vinavojieleza venyewe.... Rio Ferdinand anasema hivi yaani Chelsea ni timu inayoweza kukufunga kila upande yaani kila mchezaji anakufunga tu.....


Timu inatisha sn yaani tena unakuta Pounds milioni 150 iko nje yaani Lukaku na timu inafunga tu magoli kibao.... Timu inatisha sn yaani inatisha mno.... Sasa ilivokuwa inacheza na Leicester City yaani Leicester City walionekana km watoto wanapambana na dubwana kuuuba kweli....


Sasa ndio nakumbuka na maneno Mauricio Pochetinho eti eeeeti Chelsea ni timu inayo jilinda sn ndio maana haifungwi magoli sn.... Jamani jamani hivi huyu Mauricio hamnazo? Chelsea inapaki bus wakati muda wote Banuchi wa juve alikuwa analambishwa nyasi?

Huyu nataka tukutane nae kwenye second legs ya KO ili atujue sisi kuwa ni mabingwa wa Ulaya....

Mwisho tumkaribishe Michael Carrick next Sunday.....
Ikumbukwe tu kuwa Juventus anashika nafasi ya nane kwenye ligi ya serie A na Leicester city nao walishafungwa mpaka na Arsenal goli mbili.
 
Mkuu jana nimepitiwa na using usingizi baada ya miangaiko ya huku na kule nikashindwa kabisa kuangalia mpira.

Nimecheka mwanzo mwisho wa narration yako hii aiseee.
Ha ha ha ha......


Basi mkuu Kwa sisi tunaojua mpira vzr imebaki swala la kupiga soga tu km hivi...


Mimi nawaambia wazi kabisa kwa kiwango cha Chelsea walichonacho sasaivi..... Wanaenda kubeba UEFA tena....


Wewe jiulize ni timu gani inaweza kuizuia Chelsea kwa sasa?


Tujiulize tu hivo yaani unacheza na watoto kutoka Chelsea Academy huku milioni 150 pounds yaani Lukaku yuko nje ala Banuchi na Fredricco Chiessa wanalambishwa nyasi na kwenda kulala hoi na viatu....


Ha ha ha ha hii ni zereu ya hali ya juu sn... Chalaboh kamfunika kabisa Chiessa huku Odoi anamgeuza geuza Banucci atakavyo....

Duh ukisikie kuuishi mfumo wa uchezaji aliokua anausema Tomasi Tuko ndio hii sasa....
 
Jamani niliwahi kusema hapa kwamba hauhutaji kutoa maelezo mengi sn kuelezea ni namna gani umefanikiwa ktk maisha yako au elimu yako au biashara y'all.....

Huitaji kusema ooooh Mimi nilisoma na Obama Harvard University wakati Obama ni rais wa serikali chuo...

Huitaji kusema ooooh Mimi nilimkopesha Bill Gets mtaji na Mimi ni tajiri....


Huitaji kusema ooooh Mimi nilikuwa naogelea kwenye pool moja na Tony Blair huko mitaa London....

Yaani huitaji kutoa maelezo meeeengi kweli ya kujieleza kuhusu mafanikio yako....


Kile unachoweza kufanya unatakiwa kuacha vitu vijieleze vyenyewe na ndicho anachofanya Tomasi Tuko sasaivi.


Yaani anaacha goma linajieleza lenyewe.....

Alafu nikuchekeshe kidogo

Wakati Tomasi Tuko anaichukua Chelsea last season alisema anataka kutengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kucheza nao.....

Sasa hayo maneno yameanza kutimia.... Hakuna Timu kabisa inapenda kukutana na Chelsea kwa sasa!


Alafu nikuongezee kicheko kidogo kingine yaani hii ni kutokana na vitu vinavojieleza venyewe.... Rio Ferdinand anasema hivi yaani Chelsea ni timu inayoweza kukufunga kila upande yaani kila mchezaji anakufunga tu.....


Timu inatisha sn yaani tena unakuta Pounds milioni 150 iko nje yaani Lukaku na timu inafunga tu magoli kibao.... Timu inatisha sn yaani inatisha mno.... Sasa ilivokuwa inacheza na Leicester City yaani Leicester City walionekana km watoto wanapambana na dubwana kuuuba kweli....


Sasa ndio nakumbuka na maneno Mauricio Pochetinho eti eeeeti Chelsea ni timu inayo jilinda sn ndio maana haifungwi magoli sn.... Jamani jamani hivi huyu Mauricio hamnazo? Chelsea inapaki bus wakati muda wote Banuchi wa juve alikuwa analambishwa nyasi?

Huyu nataka tukutane nae kwenye second legs ya KO ili atujue sisi kuwa ni mabingwa wa Ulaya....

Mwisho tumkaribishe Michael Carrick next Sunday.....
Nampa pole sana alivyotoka ngola nikiogopa sana LOFTUS kafanya maisha yawe mepes san
 
Ikumbukwe tu kuwa Juventus anashika nafasi ya nane kwenye ligi ya serie A na Leicester city nao walishafungwa mpaka na Arsenal goli mbili.
Tulichukua ubingwa wa UEFA mwaka 2012 ikiwa team yetu inashika nafasi ya 6 kwenye ligi kwako hili unalizungumziaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom