lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Uchezaji wa Ziyech bado sio mzuri, hachezi kama anachezea mabingwa, krosi zake not calculated, zinapotea hovyo. Loftas Cheek bado anazo zile elements za kujivutra hadi ananyang'anywa mpira, Mtu ambaye angetushindia hii mechi ni Kante na huyo katoka. Pulisic simuoni kabisa japo ni kweli Juve leo walipania kupaki mabasi kweli kweli yaani hata hilo goli ni kwa vile ni la set pieces. Kwenye open play ni ngumu kuwafunga hawa Juve
Wanaojitahidi kucheza vizuri hadi sasa ni Mabeki wote, Jorginho, wingbacks bado hawajaonyesha makali yao. Odoi na Ziyech nao bado. Wameshindwa kupitisha mipira kwa wafungaji na wanapopata nafasi hawako clinical
Tusubiri kipindi cha pili tuone TT atakuja na mbinu ipi kubadili mchezo
Wanaojitahidi kucheza vizuri hadi sasa ni Mabeki wote, Jorginho, wingbacks bado hawajaonyesha makali yao. Odoi na Ziyech nao bado. Wameshindwa kupitisha mipira kwa wafungaji na wanapopata nafasi hawako clinical
Tusubiri kipindi cha pili tuone TT atakuja na mbinu ipi kubadili mchezo
Chelsea kwa sasa inakamilisha usemi wa kocha Tuchel.