Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwan wwtimu ambayo si ya kawaida kwa ssa timu gani ndio u.esema PSG
MAN CTY
MUNICH
ILA UMESAHAU HTA HAO PSG WA PATA TABU KUSHINDA
nimesema endelea kuvimba kichwa
Hakuna sehemu nilikootodhesha timu. Umetaja timu kwa kutumia hisia zako na umeitaja psg kwavile unahisi kuna majina makubwa basi watatajwa kama timu bora. Nimesema Juventus kwasasa wana struggle hawako kwenye form kwasasa.
 
Huu ndio ukweli, Juventus ni timu ya kawaida kwasasa ndio maana huko kwao Italy wanajikongoja tu kwa kushika nafasi ya nane. Ukicheza na timu iliyo kwenye form ukamfunga utapongezwa ila sio kwa kujisifu kuifunga juve wakati hata Sassuolo imeshamfunga juve.
Kwahyo Chelsea akimfunga juve goli 4 km anavyowafunga kina Newcastle wasisifiwe....huongei ukweli Bali unachembe chembe za chuki Tu
 
Huu ndio ukweli, Juventus ni timu ya kawaida kwasasa ndio maana huko kwao Italy wanajikongoja tu kwa kushika nafasi ya nane. Ukicheza na timu iliyo kwenye form ukamfunga utapongezwa ila sio kwa kujisifu kuifunga juve wakati hata Sassuolo imeshamfunga juve.
Na ligi mzima ya England ina timu za kawaida sana ndio maana chelsea anaongoza ligi na ameruhusu kufungwa magoli manne tu kwenye mechi 12 alizocheza.

Kwenye sifa si mbaya kusifia, roho mbaya na husda hazijengi hata kidogo.

Credit kwa TT na Chelsea yake.

Keep the blue flag fly higher.
 
Utasikia et "tunaenda kuchukua CL kwa mara ya pili " labda CL ya buza kudadekii .....


Chelsea ni timu ya kawaida Sana ,Tena sanaa ,haijakutana na Moto wa city ,buyern ,psg ,Liverpool ......

Kwa nyie kenge nataman tukutane Tena CL hata robo final au semi final kabisa ...
Iyo nusu fainali yenyewe utafika mpaka uje kukutana na sisi???
 
Ni mazingira mawili tofauti, Chelsea ilishika nafasi ya sita ni sawa ila kuna kocha aliyesababisha mpaka Chelsea ifikie hapo. Kisha inafanyika mabadiliko ya benchi la ufundi anakuja T.T ambaye anaifanya Chelsea imalize nafasi ya nne. Tofauti na hali iliyokuwepo kwa Juventus, Allegri ameanza na timu kwanzia msimu huu unaanza na mpaka sasa bado ana struggle kuirudisha juve katika ubora na ndio maana kwenye msimamo anashika nafasi ya 8 kwa tunaofuatilia serie A tunaijua kuwa zama za Juventus zimeisha ila kwa wanaangalia uefa champions league peke yake wataona kama ni timu bora kwavile tu wamepata ushindi katika mechi nne za hatua ya makundi.
We unashabikia timu gani?
 
Sijaropoka naomba njoo na msimamo wa ligi ya Italy uone hao juve wameshinda mechi ngapi Serie A na wako nafasi ya ngapi. Ni timu ya kiwango cha kawaida tu usidanganyike ni jina. Na je unakataa Leicester city hakufungwa na arsenal?
Hata Crystal Palace amemnyuka man city kaangalie sisi tumenyuka ngapi crystal palace.
 
Huu ndio ukweli, Juventus ni timu ya kawaida kwasasa ndio maana huko kwao Italy wanajikongoja tu kwa kushika nafasi ya nane. Ukicheza na timu iliyo kwenye form ukamfunga utapongezwa ila sio kwa kujisifu kuifunga juve wakati hata Sassuolo imeshamfunga juve.
Watu ni wanafiki sana.

Tukishinda wanasema tumecheza na kibonde.

Tukifungwa sasa.

Punguzeni hate wazee.
 
Yaani Chelsea sasa inatisha. Kilichobaki ni kusambaza ma agent wetu ulaya nzima. Maana sio mda mrefu kila timu kubwa ulaya itakuwa inavizia Chelsea academy graduate ili iwasajili.

Hebu fikiria jana magoli matatu yametoka Chelsea academy graduate na tokea ligi zianze angalia rate ya Chelsea academy graduate wanavyofunga. Alafu ndio mashabiki mandazi wanakuja hapa wanaiponda Chelsea bila hata kujua kwa sasa Chelsea ina foundation nzuri sana ya mpira wa miguu.
 
Chelsea bingwa wa ulaya msimu uliopita sio huu, msimu huu ndio bingwa anatafutwa. Mlimfunga bingwa wa Spain, England na bingwa wa kihistoria wa UEFA lini? Maana nakumbuka Chelsea imecheza na mshindi wa Europa league ambaye villareal na kushinda kwa penati baada ya kutoka sare moja moja. Kwa kutumia kigezo ambacho wewe umekitumia kwa kulinganisha na man u, je unasemaje baada ya man U kushinda mechi zote mbili dhidi ya villareal ndani ya dakika 90?
Kwa hiyo kwa sababu Sisi tulitoa sare na Villareal na man u kashinda match mbili kwa haohao ndio man u inageuka kuwa timu nzuri.

Dah hiyo reasoning yako ni ya hovyo sana.

Oyaaa huyu Kunguni muachine apige kelele humu. Ikifika J2 huu uzi hatoutamani tena.
 
Huu ndio ukweli, Juventus ni timu ya kawaida kwasasa ndio maana huko kwao Italy wanajikongoja tu kwa kushika nafasi ya nane. Ukicheza na timu iliyo kwenye form ukamfunga utapongezwa ila sio kwa kujisifu kuifunga juve wakati hata Sassuolo imeshamfunga juve.
Mkuu unaumia ukiwa pande zipi baada ya Chelsea Kumfunga Juventus Goli 4 bila.
Pole sana na safari hii mtaongea sana sisi tunasonga tu.

Chelsea msimu ulioisha mpaka anachukua Champion Ligi kamfunga Real Madrid goli tatu., kamfunga Porto, kamfunga Atlentico Madrid nje ndani, kamfunga na Mancity three times akiwa kwenye form. Na hili unazungumziaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom