Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nakubali tumefungwa. Kufungwa na Gardiola ni kawaida. Gardiola ni kocha mzuri duniani pia kumfunga kocha mwenye ubora mara nne si jambo jepesi. Naamini next tunashinda kama kawaida yetu.

Mpira ni mbinu kila timu inaingia uwanjani kutafuta point 3. Anaye shindwa mbinu unyanganywa point zote tatu wakiwa na mbinu sawa Wanagawana points.

So niwapongeze sity kwa ushindii na kuchukua points zote tatu. Tukutane Etihad second round.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Bora wewe umekubali ,ila Kuna kunguni hazielewi kabisa ,ule Moto uliowaka pale Stamford bridge
 
Antonio Rudiger has decided to leave #Chelsea and wants to move to Real Madrid on a free transfer next summer.

[via @marca]
 
IMG_0234.jpg
 
Hivi kwa nini wachezaji wa city walishangilia kama wamechukua UEFA baada ya filimbi ya referee? Inaonekana suala la kufungwa mara tatu mtawalia lilimuumiza kichwa kipara.tunahitaji mchezaji mmoja mwenye uwezo wa kupunguza watu ili kuhold mpira wakati wa transformation kutoka kushambuliwa kwenda kushambulia hazard calibre player
 
Hivi kwa nini wachezaji wa city walishangilia kama wamechukua UEFA baada ya filimbi ya referee? Inaonekana suala la kufungwa mara tatu mtawalia lilimuumiza kichwa kipara.tunahitaji mchezaji mmoja mwenye uwezo wa kupunguza watu ili kuhold mpira wakati wa transformation kutoka kushambuliwa kwenda kushambulia hazard calibre player
Tuna pulisic bahati mbaya majereha hayamuishi
 
Kwa uchezaji wenu wa kukaa nyuma na kuvizia counter attack ,this is epl ,Kama city hatacheza hivyo mfululizo vip Chelsea yeye ataweza kuwa kwenye form mfululizo ?, Mfumo wenu wa kujilinda ndio utawafanya msifungwe goli nyingi ila mtakuwa mnafugwa tu na kuachia point 3....

TT ni morihno aliyechangamka ,akiendelea hivyo ,wanamtafutia njia za kumfungua ...

Keep watching ,mtakuwa mnapanuliwa tu ,hakuna namna
Bado kile kichapo cha mfululizo kwa kutwa ubingwa mbele yenu Man Chichi, EPL na kutolewa FA kinawatesa sana

Inamaa ikiwa TT ni failure, basi Pep uwalaza atakuwa Superior Failure, kwanini afungwe mechi 3 mfululizo na timu inayovizia kaunta ataki na kupaki basi nakati Man Chichi ilikuwa inasakata kandanda safi kabisa
 
Reece James had classic “high ankle sprain” mechanism w/ ankle forcibly twisted outwards, he left ground bandaged but no boot which likely means no fracture but MRI still needed, this injury means Reece will be out for 4-6 weeks.

🔗 Sports Doctor - Dr. Rajpal Brar, DPT
 
JOSE MOURINHO AKIMUONGELEA DROGBA

Jose Mourinho: 🗣"Didier Drogba alikuja maishani mwangu katika dakika ya tano ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa ulaya dhidi ya Marseille. Kiukweli sikuweza kukaa chini wakati nilipomuona mchezaji aliyevaa jezi namba 11 mgongoni mara alivyotufunga bao.

Mchezaji yule mwenye jezi namba 11 mgongoni alikuwa ni Drogba alisheherekea bao alilofunga kama vile ilivyokuwa kawaida yake, umati wa mashabiki walishikwa na wazimu, kelele nyingi zilikuwa zikisikika. "

"Wakati tunaenda vyumbani muda wa mapumziko nilimkuta njiani na nikamwambia:" Sina pesa ya kukusajili, lakini una binamu yeyote ambae anaweza kucheza kama wewe huko kwenu Ivory Coast? "Alicheka, akanikumbatia na alisema: "Siku moja utakuwa kocha kwenye klabu ambayo itaninunua."

"Miezi sita baadaye nilisaini Chelsea. Nilikuwa nimepata klabu yenye nguvu sana ambayo kila mtu alitaka kujiunga nayo, kila mtu alitaka kuhusishwa nayo - na kila mchezaji alitaka kuichezea.

"Nilikuwa na chaguzi kadhaa, lakini nilifika nikasema:" Ninamtaka Didier Drogba. 'Mashaka na maswali yalitolewa na watu wachache:' Kwanini huyu? ',' Kwanini sio yule? ',' Una uhakika atabadilika? ',' Je! ni mzuri kweli? '

"Lakini nikasema: Namtaka Didier Drogba,"

"Siku chache zilipita na nilikutana na Didier katika uwanja wa ndege wa kibinafsi huko London. Tena alinikumbatia, lakini wakati huo kwa njia isiyosahaulika: akinikumbatia kwa njia ambayo ilionyesha shukrani zake za dhati, na mapenzi makubwa mno "yaani hata haielezeki."

"Kisha akaniambia: 'Asante. Nitakupigania. Hautajuta. Nitabaki mwaminifu kwako milele.'

Na hivyo ndivyo mara zote alivyofanya ... "

"Uaminifu wake ulitoka katika uongozi wake na kwa njia ambayo kila wakati alikuwa akikabiliana na nyakati ngumu. Drogba alikuwa mtu ambaye nilijua ningetegemea wakati wowote na mahali popote kupata matokeo niliyoyahitaji. "

"Wakati timu ilikuwa chini ya shinikizo angesaidia kutetea; wakati aliposikia maumivu alijinyoosha hadi kikomo ili tu kufanya vizuri zaidi.

Magoli yake aliyofunga yalituletea mataji & tuzo, lakini kitu kinachokaa kwangu mpaka sasa hivi ni hadithi kubwa tulioijenga pamoja. "️❤️
 
Odoi angekua anapata muda mwingi kwenye pitch kama anavyopata bukayo saka leo tungekua tunaongea mengine
Huo muda mchache anaopata mbona hakuna anachokifanya sababu hata saka alianza kwa kupewa dakika chache lakini alikua anazitumia vizur mpk kocha amemuamini na timu ya taifa pia ameaminiwa lakini odoi yeye ndo kwanza anataka aongezewe mshahara alipwe 250K kwa week
 
Huo muda mchache anaopata mbona hakuna anachokifanya sababu hata saka alianza kwa kupewa dakika chache lakini alikua anazitumia vizur mpk kocha amemuamini na timu ya taifa pia ameaminiwa lakini odoi yeye ndo kwanza anataka aongezewe mshahara alipwe 250K kwa week
Odoi alitoka kwenye injury ambayo ingemfanya hata aaachane na mpira na tangu karudi kacheza dk chache kuliko mchezaji yyte kwenye kikosi cha chelsea na ndio maana wakat wa dirisha la usajili linakrbia kufungwa alitaka kwenda Dortmund kwa mkopo akapate muda mwingi wa kucheza
 
Huo muda mchache anaopata mbona hakuna anachokifanya sababu hata saka alianza kwa kupewa dakika chache lakini alikua anazitumia vizur mpk kocha amemuamini na timu ya taifa pia ameaminiwa lakini odoi yeye ndo kwanza anataka aongezewe mshahara alipwe 250K kwa week
Kwa timu kubwa kama Chelsea ukipewa hata dakika 5 unatakiwa uonyeshe kuwa unaweza, Arsenal wao hawana options nyingi wote tunajua hilo
 
Reece James had classic “high ankle sprain” mechanism w/ ankle forcibly twisted outwards, he left ground bandaged but no boot which likely means no fracture but MRI still needed, this injury means Reece will be out for 4-6 weeks.

Sports Doctor - Dr. Rajpal Brar, DPT
Du hatari sana dgo kweli atarudi kwenye fomu yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom