OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Chekini hii ndorobo🤣🤣🤣🤣😂😂Utasikia et "tunaenda kuchukua CL kwa mara ya pili " labda CL ya buza kudadekii .....
Chelsea ni timu ya kawaida Sana ,Tena sanaa ,haijakutana na Moto wa city ,buyern ,psg ,Liverpool ......
Kwa nyie kenge nataman tukutane Tena CL hata robo final au semi final kabisa ...

️


