Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Tulipaki basi na kumtungua nusu fainali ya FA, EPL na fainali ya UEFA.Kwani wakati mnacheza na man city mlifanyaje?
Kwani unateseka sana?
Vipi City asiyepaki basi yuko nafasi ya ngapi?
Mpira si kushambulia na kuucheza kila wakati bali unahitaji;
1. Techniques
2. Tactics
3. Possession
4. Consistency
5. Winning mentality
6. Team philosophy
7. Team working spirit.
8...................
Amka usingizini na heshimu Mabingwa wa Ulaya Chelsea FC 2020/2021, Man City bado inaugulia maumivu ya kipigo cha mechi 3 mfululizo.

