Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,621
Mpira ulimgonga mchezaji wa Chelsea kama sikosei alikua jorginhoLakini ulishachezwa, mpira ukishachezwa inaitwa open play, ingekuwa direct sawa
Mpira ulimgonga mchezaji wa Chelsea kama sikosei alikua jorginhoLakini ulishachezwa, mpira ukishachezwa inaitwa open play, ingekuwa direct sawa
Mfano mzuri Gianfranco zola pamoja na ufundi wa kuchezea mpira alikuwa nao na kupiga chenga wachezaji wengi lakini hakuwahi kubeba kombe lolote na hata kwenye history ya Chelsea hakumbukwi.Hivi striker kuflop huwa inatafsirikaje?
1. Unanunua striker anafunga magoli mengi na hambebi hata kikombe cha kahawa.
2. Unanunua striker anafunga magoli kiduchu na muhimu katika finali na mnabeba kombe.
hapo kati ya 1 na 2, yupi mchezaji flop? au wote ni flops.
acha kutudanganya mkuu, no. 25 chelsea pale haivaliwi kwa heshima ya zolaMfano mzuri Gianfranco zola pamoja na ufundi wa kuchezea mpira alikuwa nao na kupiga chenga wachezaji wengi lakini hakuwahi kubeba kombe lolote na hata kwenye history ya Chelsea hakumbukwi.
Wote hao mkuu nyanya tu hapo hata hao Brentford wamekutana na beki za unga wa sembe siye beki zetu Dona tu mkuuuGame ngumu ni hii ya brentford na leicester tho msim huu wanaonekana hawako vizuri
Gabriel Jesus alikuwa ni mchezaji wa 5 kuucheza mpira kwa Man City alikuwa ni mchezaji wa 4. na kona haikupigwa kama kona waliamua kuucheza kwa kupasiana. That is typical open play footballMpira ulimgonga mchezaji wa Chelsea kama sikosei alikua jorginho
Duh kwahyo haiondoi kuwa NI Kona Hata kama waliamua kucheza Kwa kupasiana?...mkuu open play goal linatokea endapo timu ilikuwa na possession ya mpira either kutoka Kwa kipa au waliokaba na kuumiliki tena na kuenda kufunga...Hilo la man city lilitokana na dead ball mpira wa Kona....nilimsikia Hadi na mchambuzi jim beglin akisema "Chelsea are yet to concede an open play goal" na akagusia goli la jesus pia lilitokana na kona ...kama aliamua kuudanganya ulimwengu WA soka basi sawaGabriel Jesus alikuwa ni mchezaji wa 5 kuucheza mpira kwa Man City alikuwa ni mchezaji wa 4. na kona haikupigwa kama kona waliamua kuucheza kwa kupasiana. That is typical open play football
Na kuna mtangazaji mwingine naye kasema Chelsea imefungwa goli la kwanza la open play, sijui naye kaudanganya ulimwengu. May be kwenye tafsiri ya mambo mengine kuna 50/50 kulingana na situation ya tukioDuh kwahyo haiondoi kuwa NI Kona Hata kama waliamua kucheza Kwa kupasiana?...mkuu open play goal linatokea endapo timu ilikuwa na possession ya mpira either kutoka Kwa kipa au waliokaba na kuumiliki tena na kuenda kufunga...Hilo la man city lilitokana na dead ball mpira wa Kona....nilimsikia Hadi na mchambuzi jim beglin akisema "Chelsea are yet to concede an open play goal" na akagusia goli la jesus pia lilitokana na kona ...kama aliamua kuudanganya ulimwengu WA soka basi sawa
Tunapumzika baada ya jana kufanya mashambulizi ya kutosha kwenye jukwaa la liver kuku...Kimyy no post no comments
Nimekubali hatar sanaTunapumzika baada ya jana kufanya mashambulizi ya kutosha kwenye jukwaa la liver kuku...
Jana tumewapelekea moto.
Nyie mashabiki wa Chelsea mnajaza severs za jf kwa kuandika pumba tu ...Tunapumzika baada ya jana kufanya mashambulizi ya kutosha kwenye jukwaa la liver kuku...
Jana tumewapelekea moto.
Unatafuta Bwana humu?Nyie mashabiki wa Chelsea mnajaza severs za jf kwa kuandika pumba tu ...
Mchunguzwee !!!!
Wewe unaandika nini hapo Mr paracetamolNyie mashabiki wa Chelsea mnajaza severs za jf kwa kuandika pumba tu ...
Mchunguzwee !!!!
Kaahh bro karius kweli taka taka ile anarud live kukuWakuu mnaonaje tumuuze keppa tuongezee hela tumchukue Lloris Karius.