lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Erling Haaland amekataa mkataba mpya na Borussia Dortmund
Taarifa zinadai kuwa mchezaji huyo mshambualiaji kutoka Norway amedai anaamini muda wake wa kuwa mchezaji wa Dortmund umefikia ukingoni na sasa anatazamia kucheza Barnabeu na Real Madrid hata kama Bayern, Chelsea, Barcelona, Man City na Man United wamekuwa wakimmezea mate
Tukumbuke kuwa Borussia Dortmund walikataa ofa mbalimbali ikiwepo ya Euro kama 150M kwa mchezaji huyo ambaye mkataba wake unaisha mwaka 2024 na kuanzia mwakani anaweza kuondoka kwaPaundi mil 68 tu
Taarifa zinadai kuwa mchezaji huyo mshambualiaji kutoka Norway amedai anaamini muda wake wa kuwa mchezaji wa Dortmund umefikia ukingoni na sasa anatazamia kucheza Barnabeu na Real Madrid hata kama Bayern, Chelsea, Barcelona, Man City na Man United wamekuwa wakimmezea mate
Tukumbuke kuwa Borussia Dortmund walikataa ofa mbalimbali ikiwepo ya Euro kama 150M kwa mchezaji huyo ambaye mkataba wake unaisha mwaka 2024 na kuanzia mwakani anaweza kuondoka kwaPaundi mil 68 tu
Chelsea have confirmed that Kante has returned to training. #CFC
#BallonDor


