Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kelele zote kumbe hatujawai kupeleka ofa yoyot kwa haaland ila tunapeleka ofa ya pili kwa lukaku mchezaji ambaye bado anatamani kubaki inter
Screenshot_20210802-190852_Twitter.jpg
 
Chelsea name Jorginho, 7 others among players they will sell to raise funds for Haaland deal

Chelsea could be planning to shake up their squad that won the Champions League title last campaign They are hoping to secure the services of Romelu Lukaku and Erling Haaland before this transfer window closes The Blues have named Jorginho, Rudiger and Abraham among stars who could be shown the exit doors this summer
 
Kwa maoni yangu naona deal la Haaland au Kane ndio rahisi kuliko la Lukaku
  1. Dortmund wakipewa ofa nzuri watapokea kwa sababu hata mwakani anaweza kuondoka kwa bei rahisi karibu nusu ya pesa ambayo wangepata msimu huu. Na pia Dortmund wameshamnunua replacement wake.
  2. Harry Kane anaonyesha kuwa na ugomvi na bodi kwa sababu ya ukame wa Spurs kwenye vikombe, na naona Kane kakasirika zaidi baada ya England kutoka kapa kwenye michuano ya Euro 2020. Sasa Chelsea wakitoa ofa nzuri kwa Spurs wanaweza kumuachia kirahisi.
 
Kwa maoni yangu naona deal la Haaland au Kane ndio rahisi kuliko la Lukaku
  1. Dortmund wakipewa ofa nzuri watapokea kwa sababu hata mwakani anaweza kuondoka kwa bei rahisi karibu nusu ya pesa ambayo wangepata msimu huu. Na pia Dortmund wameshamnunua replacement wake.
  2. Harry Kane anaonyesha kuwa na ugomvi na bodi kwa sababu ya ukame wa Spurs kwenye vikombe, na naona Kane kakasirika zaidi baada ya England kutoka kapa kwenye michuano ya Euro 2020. Sasa Chelsea wakitoa ofa nzuri kwa Spurs wanaweza kumuachia kirahisi.
We jamaa sijui kama unatumiaga logical side of your brain, yaani Kane atoke spurs auzwe Cheltako, hujui fierce affair iliyopo au unadhani unanunua nyanya?
 
Mchukueni Kitoabu, huyo jamaa ni noma kwa mipira ya kichwa.
Anapiga miguu yote kama Ronaldo, binafs namkubali sana huyu jamaa.
Tatizo labda liwe ni fungu la pesa, maana club yake itahitaji pesa nyingi ili kumuachia.
Wewe labda utuletee lupatu[emoji1787]
 
We jamaa sijui kama unatumiaga logical side of your brain, yaani Kane atoke spurs auzwe Cheltako, hujui fierce affair iliyopo au unadhani unanunua nyanya?
😕😕😕😕
 
Deal la Jules Kounde pia halipo, tusiwe na matumaini bandia hapa
Sevilla wanataka Euro mil 65 na ni cash wanataka tena hapo wameshusha maana ilikuwa mil 80
Chelsea wanaweza tu kufikiria kumnunua Jules kama Zouma atauzwa na sio chini ya Euro 35 milioni, bei ya chelsea walioweka kwa Zouma ni Euro mil 29 tu,
Timu zinazomuwania Zouma ni Spurs, Westham na Palace. Westham wamesema waziwazi kuwa hawawezi kulipa Euro mil 29 kwa Zouma bali wao wametoa Euro Mil 23
Kwa hiyo usajili wa Chelsea dirisha hili ni mgumu kweli kweli ukiondoa usajili wa kipa
Bado dakika za kusajili zipo ila sioni kama zitatosha kwa usajili wa maana kama wa Haaland, Kane na Lukaku
 
Zouma anaweza asifae kwenye mfumo wa TT wa back 3 lakini tukumbuke kuwa Zouma ni mzuri kwenye haya maeneo
  1. Mipira ya juu
  2. Ana speed
  3. Anajua kuzuia mashambulizi
  4. Ni mzuri kwenye set pieces na hasa magoli ya vichwa ambayo Chelsea ina uhaba sana wa magoli
Tatizo lake kubwa ni
  1. kukosa concertation na
  2. papara kama vile anavuta bangi sometimes

Baada ya kusema hayo Chelsea kama wanamuuza wasimuuze kwa bei chee
Zouma anaipenda Chelsea na amedai yuko tayari kubaki Chelsea na kama atauzwa basi naona anapendelea EPL, ni ligi aliyoizoe
 
Kama Spurs wanamtaka Zouyma na Tammy kwa nini Chelsea wasi balance mahesabu hivi
  1. Kurt Zouma + Tammy Abraham + £50 = Harry Kane, tukamalizana kwa staili hiyo
  2. Kama hawataki hiyo tukaboresha hivi; Kurt Zouma + Tammy Abraham + £60= Harry Kane,
 
Zouma anaweza asifae kwenye mfumo wa TT wa back 3 lakini tukumbuke kuwa Zouma ni mzuri kwenye haya maeneo
  1. Mipira ya juu
  2. Ana speed
  3. Anajua kuzuia mashambulizi
  4. Ni mzuri kwenye set pieces na hasa magoli ya vichwa ambayo Chelsea ina uhaba sana wa magoli
Tatizo lake kubwa ni
  1. kukosa concertation na
  2. papara kama vile anavuta bangi sometimes

Baada ya kusema hayo Chelsea kama wanamuuza wasimuuze kwa bei chee
Zouma anaipenda Chelsea na amedai yuko tayari kubaki Chelsea na kama atauzwa basi naona anapendelea EPL, ni ligi aliyoizoe
Ila pia ukumbuke tunahitaji long term replacement ya kina azpi, na Silva ambae huu NI msimu wake WA mwsho pale Chelsea baada y kuongeza mkataba wa mwaka mmoja......
IMG_20210729_120405.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kibao cha European Supper League naona inataka kuwageukia UEFA

Hakimu mmoja kule Spain ameamuru UEFA kuondoa adhabu zote walisopewa klabu zilizoshiriki kuanzisha ESL mara moja na Uongozi wa klabu tatu waasisi wa ESL wakatoa tamko la kuunga mkono uamuzi huo wa mahakama.

"Manuel Ruiz de Lara, who rules in a commercial court in his nation’s capital of Madrid, made an order on July 30 that demanded UEFA declare on their website that all penalties – both financial and sporting – against the clubs be dropped with immediate effect."

Mahakamahiyo imedai kuwa UEFA hawana wajibu na mamlaka ya kuzuia ESL na pia kutoa adhabu kwa timu waazilsihi wa ESL na hivyo waondoke hizo adhabu mara moja.

Pia mahakama imetoa angalizo kwa UEFA kuwa wasipotii amri hiyo wataingia matatani ikiwa ni pamoja na adhabu na mashitaka ya uhalifu.

“The Court backs the request made by the promoters of the European Super League, dismisses UEFA's appeal, and confirms its warning to UEFA that failure to comply with its ruling shall result in fines and potential criminal liability.

Sasa kesi imepelekwa kwenye European Court of Justice in Luxembourg na wanaendelea kuangalia hasa monopolism ya UEFA kwenye soka la ulaya

UEFA kwa upande wao wamekataa hayo amagizo ya mahakama na wamedai kuwa wako sawa na wanaamini Mahakama ya Ulaya itaamua kudhibitisha hayo madai yao

“Still, as per the Mirror, UEFA has rejected the appeal and are believed to not be too concerned about a potential revamp of the competition, and they appear unlikely to abide by the ruling because they’re confident that their actions will be justified by the European court.”

Chelsea ilikuwa ni mojawapo ya timu 12 zilizokuwa waazilishi wa ESL na wamekubali kulipa paundi mil 13 kwa timu za mpira wa migguu wa vijana na pia kuachia asilimi 5 ya mapato yao ya UEFA kwa msimu mmoja
 
Chelsea name Jorginho, 7 others among players they will sell to raise funds for Haaland deal

Chelsea could be planning to shake up their squad that won the Champions League title last campaign They are hoping to secure the services of Romelu Lukaku and Erling Haaland before this transfer window closes The Blues have named Jorginho, Rudiger and Abraham among stars who could be shown the exit doors this summer
Hakuna kitu kama hiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom