Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FUNNY FACT
Huwa najiuliza sana huyu Lukaku siku akistaafu soka atanenepa kiasi gani, kama sasa hivi anapangiwa diet na mazoezi magumu anafanya na yupo hivi,
Je siku akistaafu soka na kupata uhuru wa kula anavyotaka na kustarehe anavyotaka je atanenepa kiasi gani.

Nahisi atakuwa mara 2 ya De lima😂
 
USAJILI WA MSIMU HUU VICHEKESHO!!

📌timu nyingi hazitaki kuuza wachezaji wao hii inaonyesha vilabu vingi havina tamaa ya fedha kila mtu anataka makombe😂😂

📌HARRY KEANE - huyu mwamba amesusia mazoezi jana akishinikiza kutaka kuondoka ndani ya klabu tottenham na anataka kuelekea katika klabu ya man city, mwanzoni alikuwa akisikilizia kuona labda inawezekana tottenham ikamuachia lakini baada ya kuona tottenham wamegoma kumuuza huku man city nao wakiachana nae na wakamgeukia jack grealish ikabidi aweke mgomo baridi na kushinikiza kuondoka.

📌Ikumbukwe jamaa anatuzo binafsi za kutosha kwake anachotamani ni medali na makombe😂😂😂

🔵Sasa hili kumkomoa klabu ya tottenham imeweka dau la £160m ni sawa na €200m kwa timu yoyote inayomtaka harry kane😂😂😂

📌LUKAKU - Intermilan imegoma kumuuza lukaku kwa Chelsea Football Club licha ya chelsea kupeleka ofa ya €100m pamoja na alonso lakini ofa imekataliwa tena wamesema kama chelsea wakitaka kumnunua wasubiri mpaka mwaka 2024 na watamnunua kwa bei chee ya €7.5m tu🤣🤣🤣

🔴Lakini cha ajabu intermilan kumuuza lukaku hawataki badala yake wanataka #Chelsea iwauzie ALONSO🤣🤣

HAPA NI MWENDO WA KUKOMOANA TU!!
Kila mara unamuandika Keane, anaitwa Kane ndilo jina lake sahihi
 
USAJILI WA MSIMU HUU VICHEKESHO!!


📌LUKAKU - Intermilan imegoma kumuuza lukaku kwa Chelsea Football Club licha ya chelsea kupeleka ofa ya €100m pamoja na alonso lakini ofa imekataliwa tena wamesema kama chelsea wakitaka kumnunua wasubiri mpaka mwaka 2024 na watamnunua kwa bei chee ya €7.5m tu🤣🤣🤣
Media iliyotoa taarifa hawakusema hivyo, umetafsiri vibaya, wamesema yuko kwenye mkataba hadi 2024 na analipwa Euro mil 7.5 kwa mwaka
1628017363519.png
 
"Untouchable", "He is staying", "He is happy" Are football marketing keywords to prompt buyer increase the bid value. Same to Haaland, same to Kane same to Lukaku same to any player who is thought to have many BIG MONEY suiters
 
Japo Youtube inajua kumremba mtu lakini Jules anaonekana ni CB mzuri sana na hasa kwa umri wake huo
  1. Yuko sharp
  2. Anajua timing
  3. Hana papara
  4. Anajua kushambulia pia
 
Kane (29yrsanajisikiaje akikaa na katoto kama Mount (22yrs) ambaye na umri wake ule mdogo tayari ana UCL na bado makombe mengine yanakuja mbioni
 
Pia naona Haaland anatubagua dhidi ya Man u. Mapenzi yake yapo Man u

Tunaweza tukaweka hiyo €200M na akagoma kuja darajani akasubiri mwaka kesho kununuliwa bei chee na manyumbu.

Dortmund hawawezi kumshikia bunduki akubali kuuzwa ingali yuko kwenye mkataba
Ukiangalia miezi michache iliyopita mzee wake + raiola walifanya mazungumzo na barce na madrid
 
Deal la lukaku liko likely to happen kuliko hata deal la haland kutokana na hali jinsi inavyoendelea sasa
 
Nimeona taarifa kwa Fabrizio Romano kwamba dau jipya around €120 up to €130
Yeah,
Deal la lukaku linaweza kuwa deal zuri kuliko deal la haland due to agent wake Raiola maana huwa achelewi kuwapeleka wachezaj wake madrid or barce ni mtu anayeweza kuharibu hali ya hewa ndani ya tim

So far hatuna mchezaj yoyote aliye chini ya raiola, maana huwa ni msumbufu sana,
 
🔵Chelsea FC wanaandaa zabuni mpya kumsajili Romelu Lukaku takribani €120M/€130M baada ya dau la kwanza kupigwa chini na Inter. Pia wamemuoffa mkataba mrefu wenye thamani ya €12M kamili kwa msimu kama mshahara.

[Fabrizio Romano].

🔵Kuna uwezekano Lukaku akaondoka Inter kwenda Chelsea. Club imeyasema hayo ndani ya masaa kadhaa yaliyopita..

[Gazzetta Italy via SempreInter].

🔵Chelsea FC watafika makubaliano ya kiasi cha €130M pesa taslimu na Inter Milan kwa Romelu Lukaku, ni confirmed. Hakuna mchezaji atakaye jumuishwa kwenye dili hilo Lukaku ataingiza kiasi cha €15M kwa mwaka, confirmed.

[Alfredo Pedulla - Sportitalia].

🔵Romelu Lukaku sasa amefungua kutaka kuondoka Inter na kuhamia Chelsea FC.

Chelsea FC wameoffa €12M kwa msimu + bonuses. Lukaku ataingiza £196,000 kwa wiki na Chelsea FC wanaandaa offa ya £100M-£110M kwa Inter Milan. Itakuwa ni matakwa ya Lukaku ndicho kitaweka utofauti in negotiation. Kama Lukaku anaitaka Chelsea basi Inter hawatokuwa na uwezo wa kumbakisha clubuni hapo.

[Di Marzio - Sky Italia].

🔵Chelsea wapo karibu sana kumsaini Romelu Lukaku.

[Angelo Mangiante - Sky Italia].
 
Mbona mnakaa kufalafala ,

Halaand kawashinda

Lukaku kawashinda

Hii timu bana
 
Mda utaongea, hata kw kai watu walianza kumdoubt mapema ila sasahiv wanaanza kumkubal, kuna msemo huwa unasema form is temporary but class is permanent

Lukaku ashaprove ni wc striker,
Takwimu za Lukaku sio za msimu mmoja, doubters wengi wa Lukaku wanamuhukumu kwa uzito wake, lakini Lukaku anautumia uzito wake vizuri uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom