lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,384
- 25,493
Inavyoelekea Chelsea hawana tena hamu ya kumsajili striker. Tutapambana na akina Broja, Havertz, Werner, Ziyech, Odoi, Tammy Abrahama na ikiwezekana Micy Batshuayi
Defense yetu ikilegea kidogo tu mwakani tusahau top 4
Defense ikiendelea kuwa imara hata EPL tutapambana pale juu
Defense yetu ikilegea kidogo tu mwakani tusahau top 4
Defense ikiendelea kuwa imara hata EPL tutapambana pale juu
Sisi tunaongea asiuzwe lkn kashawekwa sokoni...na kitendo cha TT kunuelewa broja na pia na yy kuongezewa mkataba mpya wa miaka mitano inadhihirisha