Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Inavyoelekea Chelsea hawana tena hamu ya kumsajili striker. Tutapambana na akina Broja, Havertz, Werner, Ziyech, Odoi, Tammy Abrahama na ikiwezekana Micy Batshuayi
Defense yetu ikilegea kidogo tu mwakani tusahau top 4
Defense ikiendelea kuwa imara hata EPL tutapambana pale juu
 
Hivi jamani, ina maana humu ndani hamna hata mtu mmoja aliyemuona Dujon Sterling?
 
Hata kama nia tunayo ya kumsajili STRIKER mpya hawapatikani sasa.

Haaland - giza nene
Lukaku - kichomi

Nadhani tubadili gia angani twendeni tukafanye biashara na marafiki zetu MADRID.

Tuwape pesa + mchezaji watuuzie BENZEMA
Benzema yuko kwenye form nzuri ila mzee na Madrid wanataka kumpa mkataba hadi 2023
Huyo huyo Haaland hajashindikana kama Chelsea wakiamua kutoa matakataka ili mahesabu yabalance, tunaweza kumleta Haaland darajani
 
Sasa tutawatoaje kama hawanunuliki sokoni?

1. Batshuayi
2. Barkley
3. Zappacosta
4. Drink water
5. Ermason
6. Cheek
7. Abraham
8. Zouma
Zouma mtoe hapo na Abraham naona bado anatufaa maana makombe ni mengi sana hivyo tunahitaji kikosi kipana maana kuna FA, Carabao, Ligi, Uefa ..bado kuna SuperCup, WC ..
 
Pamoja na ukame wa magoli na blunders anazofanya Werner akiwa golini, asilimia kubwa ya mashabiki wa Chelsea wanampenda Werner kwa jinsi anayotengenmeza nafasi anazozipoteza
Siku ile laana ya kupoteza itakapoisha Werner ni forward mwenye kuipa timu options nyingi za advantages
  1. Anatengeneza nafasi
  2. Ana mbio
  3. Anakaa an mpira
  4. Ana wa keep busy oponent defenders
  5. Anaassits
  6. NK
Tofauti na Tammy
  1. Hana mbio
  2. Hawezi kukaa na mpira
  3. Hawezi kutengeneza nafasi
  4. Mabeki wa timu pinzani hawamjali wala kumuogopa
  5. hawezi kuassists
  6. Kwenye kufunga anategemea silly mistakes tu za mabeki
Tammy siyo wa kuuzwa maana tuna michuano mingi hats akija Halaand hatoweza kucheza michuano yote. Hivyo akina Tammy wanafaa sana kwenye FA, Carabao huko..
 
Pamoja na ukame wa magoli na blunders anazofanya Werner akiwa golini, asilimia kubwa ya mashabiki wa Chelsea wanampenda Werner kwa jinsi anayotengenmeza nafasi anazozipoteza
Siku ile laana ya kupoteza itakapoisha Werner ni forward mwenye kuipa timu options nyingi za advantages
  1. Anatengeneza nafasi
  2. Ana mbio
  3. Anakaa an mpira
  4. Ana wa keep busy oponent defenders
  5. Anaassits
  6. NK
Tofauti na Tammy
  1. Hana mbio
  2. Hawezi kukaa na mpira
  3. Hawezi kutengeneza nafasi
  4. Mabeki wa timu pinzani hawamjali wala kumuogopa
  5. hawezi kuassists
  6. Kwenye kufunga anategemea silly mistakes tu za mabeki
Kifupi jamaa Hajui kufunga, huyu sishangai kwanini Liverpool walimkataa.
 
Zouma mtoe hapo na Abraham naona bado anatufaa maana makombe ni mengi sana hivyo tunahitaji kikosi kipana maana kuna FA, Carabao, Ligi, Uefa ..bado kuna SuperCup, WC ..
Anauwezekano mkubwa wa kuondoka huyo mkuu Sisi tunaongea asiuzwe lkn kashawekwa sokoni...na kitendo cha TT kunuelewa broja na pia na yy kuongezewa mkataba mpya wa miaka mitano inadhihirisha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kane leo amedoji mazoezi. Je ndio move ya kulazimisha auzwe?
Mashabiki wa Chelsea wanasema Chelsea wakapime maji pale kwa kujaribu kumsajili
 
Kwa mechi ya jana kweli tunamuhitaji Kane, Haaland au Lukaku
Tumekosa magoli ya wazi tano
  1. Ziyech yeye na wavu, karemab mpira hadi Ben White akawahi
  2. Hudson Odoi yeye na Leno - Kacheza vizuri sana kama kawaida yake ila hakuwa clinical golini
  3. Werner kama kawaida yake
  4. Tammy Abraham -
  5. Michy Batshuayi -
Angekuwa Kane, Haaland au Lukaku hapo tungekuwa tunaongea lugha nyingine
 
Guess what's?
1627907366578.png
 
Chelsea wame peleka bid ya pili kwa Lukaku
Tunasubiri majibu

Huku nyuma niliwahi kumtetea Lukaku kuwa ni mfun gaji mzuri kuliko strikers tulionao na kuna baadhi wanamkebehi na kumuona hafai kwa sababu ya uzito wake

Kwangu mimi Lukaku anatetewa na takwimu za ufungaji wake, ni striker mwenye uwezo wa kuforce magoli na yuko sharp na anaona goli hata kama physically haangalii goli. Ana uwezo wa kukaa na mpira na kwa umbile lake ni stable na ni ngumu kumshinda kwa ugali

Chelsea leteni Lukaku darajani, hatutaki sura nzuri za mastrikers kama ya akina Morata
Tunahitaji mharibifu kule mbele, mtu asiyetumia demokrasia kwenye kufunga, mtu ambaye akiwa mbele unajipigia tu mpira uende mbele yeye anajua cha kufanya na huo mpira

Wenye uwezo huo kwa sasa ni Haaland, Kane na wakishindikana hao wawili basi Lukaku ni option ya tatu
 
🔵Chelsea FC matches schedule for August:

📅4 August, Chelsea FC vs Tottenham Hotspur - Stamford bridge Stadium, (Pre season friendly match).

📅11 August, Chelsea FC vs Villarreal - Windsor Park Stadium, (UEFA Super Cup).

📅22 August, Arsenal FC vs Chelsea - Fly Emirates Stadium, (Premier League).

📅28 August, Liverpool vs Chelsea FC - Anfield Stadium, (Premier league).

Ipi game ngumu zaidi hapo:
 
Chelsea wame peleka bid ya pili kwa Lukaku
Tunasubiri majibu

Huku nyuma niliwahi kumtetea Lukaku kuwa ni mfun gaji mzuri kuliko strikers tulionao na kuna baadhi wanamkebehi na kumuona hafai kwa sababu ya uzito wake

Kwangu mimi Lukaku anatetewa na takwimu za ufungaji wake, ni striker mwenye uwezo wa kuforce magoli na yuko sharp na anaona goli hata kama physically haangalii goli. Ana uwezo wa kukaa na mpira na kwa umbile lake ni stable na ni ngumu kumshinda kwa ugali

Chelsea leteni Lukaku darajani, hatutaki sura nzuri za mastrikers kama ya akina Morata
Tunahitaji mharibifu kule mbele, mtu asiyetumia demokrasia kwenye kufunga, mtu ambaye akiwa mbele unajipigia tu mpira uende mbele yeye anajua cha kufanya na huo mpira

Wenye uwezo huo kwa sasa ni Haaland, Kane na wakishindikana hao wawili basi Lukaku ni option ya tatu
Bora Abraham kuliko hicho kiloba.
 
Mabadiliko ya postions

Mwakani TT anategemea kumchezesha Odoi kwenye Left Wing-back na Pulisic kwenye Right Wing-back, nafasi ambayo alikuwa akiicheza akiwa Dortmund na TT

Hayo kayasema TT baada ya mechi na ARsenal jana alipoulizwa kama Pulisic angeweza kucheza kwenye hiyo nafasi
Akijibu alisema
Kwa sababu Alonso hakuwepo, ilibidi Ampange Odoi kwenye hiyo nafasi ya Left Wing-back, nafasi aliyotamani siku nyingi kumuona Odoi akicheza na amedai Odoi kama kacheza vizuri kwa sababu anapenda kushambulia kama kawaida yake

Pia kuhusu Pulisic jana alipangwa kwenye nafasi ya Right Wing-back nafasi ambayo alikuwa akipangwa na TT alipokuwa kocha wa Dortmund. Inavyoelekea Pulisic sasa Atakuwa akicheza Right Wing-Back pamoja na Reece James kwa sababu kule mbele kuna wachezaji wengi (Yuko Werner, yuko Mount, Yuko Havertz, Yuko Ziyech, nk)
 
Mabadiliko ya postions

Mwakani TT anategemea kumchezesha Odoi kwenye Left Wing-back na Pulisic kwenye Right Wing-back, nafasi ambayo alikuwa akiicheza akiwa Dortmund na TT

Hayo kayasema TT baada ya mechi na ARsenal jana alipoulizwa kama Pulisic angeweza kucheza kwenye hiyo nafasi
Akijibu alisema
Kwa sababu Alonso hakuwepo, ilibidi Ampange Odoi kwenye hiyo nafasi ya Left Wing-back, nafasi aliyotamani siku nyingi kumuona Odoi akicheza na amedai Odoi kama kacheza vizuri kwa sababu anapenda kushambulia kama kawaida yake

Pia kuhusu Pulisic jana alipangwa kwenye nafasi ya Right Wing-back nafasi ambayo alikuwa akipangwa na TT alipokuwa kocha wa Dortmund. Inavyoelekea Pulisic sasa Atakuwa akicheza Right Wing-Back pamoja na Reece James kwa sababu kule mbele kuna wachezaji wengi (Yuko Werner, yuko Mount, Yuko Havertz, Yuko Ziyech, nk)
Mwakani...?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom