Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa waliongalia hiyo mechi, je wachezaji wako fit kimwili tayari kwa UEFA super cup?
Chelsea imecheza mpira mzuri sana na wachezaji wako fit, unaona muundo wa team ikikosa mpira Nini inafanya na wakiwa na mpira Wana move fast shida moja tu sio makatili kwenye goal tunakosa magoal mengi kama tungetumia vizuri chances tulikuwa tunaondoka na ushindi wa si ya goal 5.Kepa ndio aliwapa goal la bure Arsenal baada ya muda mchache tu kuingia
 
Arsenal ndiko kuna mfaaa
Shida hiki kitimu kidogo kinashindwa kukuza players, ila Huyu akija Gunners anakuwa Top Scorer, pale alicheza Thierry Henry kwa hiyo akifika lazima avae viatu vyake atajifunza kupitia Auba.
 
Shida hiki kitimu kidogo kinashindwa kukuza players, ila Huyu akija Gunners anakuwa Top Scorer, pale alicheza Thierry Henry kwa hiyo akifika lazima avae viatu vyake atajifunza kupitia Auba.
‍🦯‍🦯‍🦯 huyo happ ssa mpokeeen
 
Mleteni bure kama Luiz na willian nyie wachezji wenu ni for free, vinginevyo bora tumchukue Lautaro.
 
Shida hiki kitimu kidogo kinashindwa kukuza players, ila Huyu akija Gunners anakuwa Top Scorer, pale alicheza Thierry Henry kwa hiyo akifika lazima avae viatu vyake atajifunza kupitia Auba.
Arsenal ndio hiyo inajifia, imebaki kuambulia matakataka ya mabwana zao
 
Nashangaa eti hata akina Zapacosta na Drinkwater wanatestiwa, ya nini? tungetumia muda huu kuwajaribu academy na wachezaji wapya kama akina Malang Sarr, Broja, NK
 
Arsenal ndio hiyo inajifia, imebaki kuambulia matakataka ya mabwana zao
Afu Arsena kufa ni ndoto, hii ni taasisi ligi hatujabeba toka 2004, Uefa toka 2016 hatujaenda lkn wauni tunadunda, jaribu wewe kitimu cha uchochorini tukuzike mazima.
 
Kwa goli la Abraham nadhani Arsenal walikuwa wanamtest Abraham ila wanasahau kuwa kilichompaisha Championship na magoli yale 26 ni dead ball kama hizo
 
Pamoja na ukame wa magoli na blunders anazofanya Werner akiwa golini, asilimia kubwa ya mashabiki wa Chelsea wanampenda Werner kwa jinsi anayotengenmeza nafasi anazozipoteza
Siku ile laana ya kupoteza itakapoisha Werner ni forward mwenye kuipa timu options nyingi za advantages
  1. Anatengeneza nafasi
  2. Ana mbio
  3. Anakaa an mpira
  4. Ana wa keep busy oponent defenders
  5. Anaassits
  6. NK
Tofauti na Tammy
  1. Hana mbio
  2. Hawezi kukaa na mpira
  3. Hawezi kutengeneza nafasi
  4. Mabeki wa timu pinzani hawamjali wala kumuogopa
  5. hawezi kuassists
  6. Kwenye kufunga anategemea silly mistakes tu za mabeki
 
Hawa wachezaji msimu huu unaokuja watafanya vizuri sana tofauti na msimu uliopita wasipopata injuries na inavyoelekea TT atamtumia sana Havertz kwenye false no. 9
  1. Christian Pulisic
  2. Hakim Ziyech
  3. Kai Havertz
  4. Timo Werner
  5. Ben Chilwell
Kante na Mason Mount wao ni given
Odoi, kocha anatakiwa amsaidie hasa kwenye eneo la umaliziaji, TT akimhandle vizuri, Odoi naye atafanya vizuri kuliko misimu yote aliyochezea Chelsea
Armando Broja atapata muda mfupi lakini atapenyeza kwenye main team kwani ataimprove sana kwenye kufunga, bado ni mdogo, ni hazina ya kule mbele ya Chelsea na anaweza kutufanya tumsahau Haaland
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom