Mimi mwenyewe Nimeshangaa ila kwa kuwa nmeikuta kwenye page ya Chelsea ikabidi niamini tuuDah! Siku zinakatika aisee, yaani hapo tayari miezi sita imekata.! Walahi mda unakimbia sana
Oya wadau naomba kuuliza,
Hv mshindi wa UCL akimaliza nje ya wale wanaotakiwa kucheza uefa anaweza kucheza UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?
Mfano chelsea ameshinda UCL halafu labla kwa bahati mbaya kwenye ligi akawa nje ya top four je angeshiriki UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?
Duh chief uefa ya 2012 umeshasahauOya wadau naomba kuuliza,
Hv mshindi wa UCL akimaliza nje ya wale wanaotakiwa kucheza uefa anaweza kucheza UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?
Mfano chelsea ameshinda UCL halafu labla kwa bahati mbaya kwenye ligi akawa nje ya top four je angeshiriki UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?

Mnanipa mtihani wazee wanguRefer 2012 kisha utapata jibu.
2012 chelsea alishinda UEFA, halafu akamaliza lig out of top 4, akaingia kama bingwa mtetezi.Mnanipa mtihani wazee wangu
Asante boss, hii ndo nilikuwa nataka kujua2012 chelsea alishinda UEFA, halafu akamaliza lig out of top 4, akaingia kama bingwa mtetezi.
Kumbe Mendy ana roho mbaya hivi halafu wanangu wa chelsea hamtaki kunambia 😁😁😁Thomas Tuchel:" Edouard Mendy ndiye anayeua morali ya striker wetu, hawapi nafasi ya kufunga hata mazoezini."
Halafu nasikia Chelsea wamehamishia nguvu zao kwa Lukaku baada ya dili La Halaand kuonekana kufeli. Je Lukaku ataweza kutupatia angalau magoli 20+ kwa msimu ikiwa chini ya Mourihno alionekana kufeli..?Huu mfumo wa 343 ni kitasa/ulinzi shirikishi, hauachi magaps uwanjani. Uendelee kuwa mfumo mama.
Kama utabadilika, ubadilikie uwanjani kadri mechi inavyokwenda.
Bingwa wa Europa na UCL tayari wao ni washiriki wa UCL group stageOya wadau naomba kuuliza,
Hv mshindi wa UCL akimaliza nje ya wale wanaotakiwa kucheza uefa anaweza kucheza UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?
Mfano chelsea ameshinda UCL halafu labla kwa bahati mbaya kwenye ligi akawa nje ya top four je angeshiriki UCL kwa sababu yeye ni bingwa mtetezi.?
Dooh Richarlison kabisa?DIDIER DROGBA ATOA USHAURI KWENYE USAJILI CHELSEA
📌mchezaji wa zamani chelsea didier drogba amesema ni bora chelsea kuachana na wachezaji wenye majina makubwa katika kipindi hiki cha usajili na badala yake wamsajili mshambuliaji wa timu ya taifa brazil RICHARLSON anayechezea kwenye klabu ya evarton
📌DIDIER DROGBA amesema Richarlson ni mshambuliaji anayemkubali katika kipindi hiki na kama akijiunga na Chelsea Football Club atafanya makubwa sana ""huyu ni kama dhahabu iliyojificha naamini akitua chelsea atang'aa""
🔵Nakubaliana na didier drogba 100%..shabiki toa maoni yako
Wachezaje wengi kama hawa wanashindwaga kuperform kwenye timu kubwaDIDIER DROGBA ATOA USHAURI KWENYE USAJILI CHELSEA
mchezaji wa zamani chelsea didier drogba amesema ni bora chelsea kuachana na wachezaji wenye majina makubwa katika kipindi hiki cha usajili na badala yake wamsajili mshambuliaji wa timu ya taifa brazil RICHARLSON anayechezea kwenye klabu ya evarton
DIDIER DROGBA amesema Richarlson ni mshambuliaji anayemkubali katika kipindi hiki na kama akijiunga na Chelsea Football Club atafanya makubwa sana ""huyu ni kama dhahabu iliyojificha naamini akitua chelsea atang'aa""
Nakubaliana na didier drogba 100%..shabiki toa maoni yako