Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kushinda mataji hasa makubwa km WC, Euro, au Uefa huku wewe ukiwa ndiyo main source ya hayo mataji kwa kufunga goli nyingi au kuwa engine ya ushindi, ila kwa sasa yanaangaliwa zaidi magoli japo zamani haikuwa ishu sn, walikuwa wanaangilia zaidi mchango na ufundi wa mchezaji, cku hz imekuwa kisiasa zaidi.
wanaangalia creteria mbili katika kukokotoa points ambazo zitamfanya mchezaji awe mshindi
  1. Performance uwanjani NA
  2. Tabia yako ndani na nje ya uwanja
Luka Modric (2018 ambayo ni juzi tu) hakuwahi kuwa mfungaji (alifunga goli moja tu na assists 6 mwaka huo) lakini performance na tabia yake ndizo zilizompa point 753 na kuwashinda akina Cristiano Ronaldo na Antoine Griezmannna na wengineo ambao walikuwa wafungaji wazuri
Note: Griezmann alifunga magoli 19 na assist 9 wakati Ronaldo alifunga zaidi ya magoli 30 na assists 5, Mo Salah alifunga magoli 40+ na Assists 10+ mwaka huo na hakuwa hata kwenye 3 bora pamoja na kuiwezesha Liverpool kufika fainali za UCL
 
Chelsea wanaweka kibindoni Euro mil 95 na ushee, kila mchezaji kutoka kwenye mgawo wa mil 10 ulioahidiwa wakishinda kombe, wachezaji 24 walishiriki na wengine waliotokea kwenye hatua ya makundi mfano Tammy Abraham na Anjorin watalipwa kiasi fulani, hawatatoka kapa
 
Furaha tupu darajani
  1. Mkataba wa Ngolo Kante kuongezwa na mshiko mkubwa ndani, mkatab wa sasa utaisha 2023
  2. Mkataba wa Silva kuongezwa - ni kutumia kipengele tu cha kuongeza muda wa mwaka mmoja tena kwenye ule wa zamani
  3. Mkataba wa Tuchel nao kuongezwa - Amefanya mengi, mkataba wa mwanza ulimtaka aifikishe Chelsea kwenye top 4 na sasa ametupa bonus kubwa ya UCL
Wengine ambao mikataba yao itaisha 2022 ni
  1. Andreas Christensen
  2. Antonio Rüdiger
  3. César Azpilicueta
 
Kante adai lengo lake kuu na la msingi ni kushinda makombe na sio Balon'Dor au MOTM

Speaking after the match to RMC Sport (h/t Daily Star), Kante explained how the primary achievement for him is the team trophy, not the MOTM award.
1622423961002.png

Another individual award that Kante is being touted for is the Ballon d’Or. But Chelsea’s humble midfielder doused the fire and simply said that his focus now will shift to winning the UEFA Euros with France in the summer.

“No, for the moment we are savouring the Champions League, the Euros are soon, I will join the France team and I hope to win that as well.”
 
Chelsea wanaweka kibindoni Euro mil 95 na ushee, kila mchezaji kutoka kwenye mgawo wa mil 10 ulioahidiwa wakishinda kombe, wachezaji 24 walishiriki na wengine waliotokea kwenye hatua ya makundi mfano Tammy Abraham na Anjorin watalipwa kiasi fulani, hawatatoka kapa
Kwahiyo wachezaji pekee watachukua pesa zaidi ya zawadi, mil 240?
 
City walibanwa mbavu kweli kweli
Kipindi cha kwanza ontarget 1, kipindi cha pili hakuna hata nafasi ya kupiga kwenye target
Japo sifa huwa zinawakimbilia aliyeassist na kufunga ila kwangu mimi sifa ziwaendee hawa wafuatao kwa kutoruhusu city wafanye mashambulizi

  1. Azpilicueta
  2. Silva kabla hajatoka
  3. Christansen baada ya kuingia akaziba vizuri nafasi ya Silva
  4. Antony Rudiger
  5. Reece James
  6. Ben Chilwell
  7. Ng'olo Kante
1622445008446.png
 
City walibanwa mbavu kweli kweli
Kipindi cha kwanza ontarget 1, kipindi cha pili hakuna hata nafasi ya kupiga kwenye target
Japo sifa huwa zinawakimbilia aliyeassist na kufunga ila kwangu mimi sifa ziwaendee hawa wafuatao kwa kutoruhusu city wafanye mashambulizi

  1. Azpilicueta
  2. Silva kabla hajatoka
  3. Christansen baada ya kuingia akaziba vizuri nafasi ya Silva
  4. Antony Rudiger
  5. Reece James
  6. Ben Chilwell
  7. Ng'olo Kante
View attachment 1803304
Kuanzia aje tuchel, christeansen kaimprove sana, kuna kipindi silva alikosekana ila christeansen aliziba pengo lake vizuri tu
 
Tatizo ni kuwa hatuwezi kufungwa na takataka kama Chelsea mara tatu mfululizo kudadekiii...


Yaan wachezaji wote wapo na moto ...


Mtajuta kuingia uwanjan nyie madogo wa darajani ,


Man city 3- 1chelsea


Come on city

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasikitika sikungalia nimerudi kutok chimbo kuwasha runinga nakutana na maridio. Ngoja nicheki.

Pole sana Pain Killer naamini una hali mbaya zaidi🤪 kufungwa mara tatu mfululizo na Chelsea
 
Leo mkifunga hiki kikos ,ndio man city hii sio kina sterling hawaaa

---------- Erdeson -------

Walker -----stone----dias----zincheko

Gundogun-------frenandinho -------bernado

Mahrez --------KDB-----Foden



Mkitufunga hapo 90min full ,chelsea win kwa hicho kikosi ,basi nitanyoosha mikono kuwa saaa tushakuwa vibonde ....

Come on city

Mkuu bado hujanyosha mkono tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom