Diet diet diet, aina ya vyakula wanavyopikiwa wachezaji Italia, ni vyakula vinavyotunza mwili, kuimarisha na sio kunenepesha.
Ndio maana kule Lukaku alipungua uzito na ndio maana wachezaji wa ligi ya Italia wanacheza mpaka umri mkubwa sana.
Sasa Lukaku akitua London kwenye mapochopocho akanenepa kama akiwa Man u (kimbao mbao kawa tukunyema) sura yetu tutaiweka wapi [emoji41]
Kiuchezaji Lukaku anakosa magoli mengi sana ya wazi, THE BLUES tunatengeneza chance nyingi sana za kufunga magoli tunahitaji serious finisher like Harry Kane, Haaland au Lewandoski.